Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Sema mara mbili kaiba urais. Ni legend wako wewe uliyefunika kichwa chini usione wala kusikia.

Nani aliyemteka Ben Saanane na akina Azory Gwanda, MO, aliyemshambulia Lissu? Ukiamua kumuabudu abudu usilazimishe wenye akili timamu wawe majuha. Binadamu tumepewa akili na utashi kutofautishwa na wanyama, kwa nini alimpora Mbowe pesa na kumfungia akaunti yake?

Samia alipoingi madarakani alisema pesa za plea bargaining hazijaingia serikalini bali kwenye akaunti binafsi China, na yeye adui? Muabudu na kumuamini Muumba wako acha ujuh
 
Watanzania wengi ni low IQ, Kila upepo unapovumia na wenyewe huko huko. 🙂🙂
Wewe muuaji wa team ya Magufuli mtaanikwa na kila kitu kitajulikana, huyo muuaji mwenye cv za kubumba aliyemuua Ben Saanane kwa kumwambia degree za magumashi ndio mwenye high IQ?

Na mwenye high IQ hajitangazi mtamjua kwa matendo yake, we kilaza tu
 
Mo ni muoga !
 
Watu binafsi nao walikuwa wanaomba vibali toka kwa Magufuli ili wasafiri kwenda nje ya nchi?

Mbona mimi na watu wangu tulikuwa tunasafiri bila rukhsa yotote ile toka kwa Magufuli..

Huu ni ujinga tu sasa.

Kaeni mtunge vizuri stori zenu.
Mkapa ili kutoka nje lazima alipaswa kuomba ruhusa sababu alikuwa bado analondwa na serikali na bado alikuwa ni mjumbe wa kamati ya ulinzi pia rais wa chuo kama sikosei ilikuwa ud
 
Mo hajawahi gusia hata siku moja.
Uoga.
 
Jpm hakuwa na uwezo/akili ya kufikiri hivyo. Alikuwa ni takataka nyingine iliyowahi kuishi ikulu
Marais wastaafu wakitaka kusafiri wanatoa taarifa kwa rais aliyepo madarakani. Serikali inatoa vibali vya kusafiri na inagharimia matibabu yao. Nina ndugu alikuwa anataka kusafiri wakati wa likizo yake, ikabidi wizara ya mambo ya nje impe kibali, kwa hiyo kwa wastaafu wakubwa serikalini kama Mkapa, Kikwete, Mwinyi na wengineo, wanapotaka kusafiri nje, serikali inagharimia security details zao. Sioni ajabu Mkapa kuzuiwa.
 
Siamini kabisa Magufuli alimzuia Mkapa asisafiri.

Hakuwa mtakatifu ila hakuwa mtu mbaya kiasi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…