granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
mzilankende mnyago, tutasikia na kujua mengi.Mzilankende
fred alipigwa risasi na mlinzi wake akiwa camp, m7 akatuma binamu yake kumchukua hyo mlinz ili apelekwe ug kwa mahojiano zaid, wakiwa mpakan mwa rwanda na ug mlinzi akapigwa risas akafa, mpaka leo ukihoji kifo cha fred unawekwa sehemu salama fasta.Mimi nimechoka hapo baada ya kifo cha Magufuli, Kulikuwa na 50Kgs za dhahabu hapo Ikulu,
Ikabidi zisafirishwe kwenda Chato na baadhi ya maafisa, Kule kulikuwa na strong room iliyokutwa pia mahela kibao.
Jamaa waliosafirisha mzigo, baada ya kukabidhi wakiwa wanarudi Dar wakapata ajali wakafa, taarifa ikatoka walikuwa wamelewa.
Mke wa mmoja wao akakana mumewe hajawahi kunywa pombe huo ulevi kaanza lini?.
Mambo yakaishia hapo
Dunia imebeba mengi sana.
Haaah haaah hatari sanaKitabu kiingizwe kwenye mitaala
CCM inabaki madarakani kwa kutumia mtutu wa bunduki na wala sio kwa sababu watu wananunua vitabu vya yeriko na kabendera usijitoe ufahamu mkuuWatanzania bwana, unakuta mtu anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama kabendera na anasoma kabisaπ.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo.
Watanzania wengi ni low IQ, Kila upepo unapovumia na wenyewe huko huko. ππWatanzania bwana, unakuta mtu anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama kabendera na anasoma kabisaπ.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo.
UBUNGE ASHAPIGWA MARA MBILIHahaahaaaa! Legend atabaki legend tu. Wabaya wanajaribu kuzika legancy kila siku lakini wapi!
Legend hakuwahi kushindwa.... Miaka 20 anashinda ubunge, mara mbili anashinda uraisi, kafa anawashinda wafitini. Hadi leo mnajaribu kuua jina lake lakini hata jina linawashinda.
Hovyo kabisa
Niko kijijini huku bado nakula raha, vipi Kabendera hajamtaja Ridhiwani na lile sakata la makontena ya madawa ya kulevya China na jinsi baba yake alivyokwenda kumuokoa kwenye kitanzi asinyongwe usiku usiku. Dogo kalitia taifa hasara kubwa sana wakati hana faida yoyote ndani ya hii nchi!Nadhani kuna kitu zaidi Kabendera ana Conspire
Kuna drama nyingi sana zimechezwa kwenye hicho kitabu
AiseeeeeMagufuli aliambiwa kuhusu ugonjwa wa Mkapa, ilikuwa Covid 19 ina msumbua na alikuwa na hali mbaya sana, madaktari na familia waliomba apelekwa Afrika ya Kusini kupata matibabu sahihi kutokana na hali yake kuwa mbayaMagufuli akakata kutoa ruhusa ya matibabu mpaka kifo kilimpomkuta wakasema ni homa β’β’IN THE NAME of the PRESIDENT: MEMOIRS of a JAILED JOURNALIST
Dah huo ulikuwa uongo wa zamani kweli. Ilikuwa 2010 hadi 2013 tukawa tunatumia email zenye maelezo hayo.Niko kijijini huku bado nakula raha, vipi Kabendera hajamtaja Ridhiwani na lile sakata la makontena ya madawa ya kulevya China na jinsi baba yake alivyokwenda kumuokoa kwenye kitanzi asinyongwe usiku usiku. Dogo kalitia taifa hasara kubwa sana wakati hana faida yoyote ndani ya hii nchi!
Mbona wanao tajwa kwenye kitabu hicho hawajitokezi kukanusha yaliyo ndani ya kitabu hicho?Watanzania bwana, unakuta mtu anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama kabendera na anasoma kabisaπ.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo.
Ilikuwa si uongo, it's a true story hata Ridhiwani mwenyewe anakushangaa kumteteaDah huo ulikuwa uongo wa zamani kweli. Ilikuwa 2010 hadi 2013 tukawa tunatumia email zenye maelezo hayo.
Sasa hapo kosa ni nini? Mbona kuna wazee wa kimasai wana watoto 90 mkuu?Kiranga nawe tuwekee updates zako
Kutoka twits za lifeofmshaba nimeona pia. Kwamba alikuwa na watoto27,
HACHAFUKI HACHAFULIWI !###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Sasa kama sio kweli mbona wahusika walio tajwa kwenye hicho kitabu hawajitokezi kukanusha?Unaweza kuthibitisha hayo yaliyo andikwa?....Usisahau kuwa hicho ni kitabu tu kimeandikwa na binadamu kama wewe so akili kumkichwa...Yawezekana/sivyo.
Wapi nimesema kuna kosa?!Sasa hapo kosa ni nini? Mbona kuna wazee wa kimasai wana watoto 90 mkuu?
Nakubaliana na wewe mkuu, watanzania wengi iq ni ndogo sana, ni chini ya 40 na hata walioenda shule wengi wameenda kukariri, hakuna ufahamu kabisa.Watanzania wengi ni low IQ, Kila upepo unapovumia na wenyewe huko huko. ππ
Nyie wagumba, matasa na mahanithi msiozaa huwa mna shida sana. Sasa lengo la kusema na kusisitiza ana watoto 27 ni nini?πππWapi nimesema kuna kosa?!