Mo aje akanushe au aseme ni kweli. Tupate kuamini kitabu###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Mara paap milioni mia ‘hii hapa’ 🤣😂Mara paap mwisho wa mwaka upepo unabadilika, anaingia mwingine Giningi, huyo ni pro Jiwe, mara ka flag anasema hicho kitabu alishinikizwa kuandika na mtu flani..
Kumbe naota tu, ngoja nivute shuka nilale, huu mwaka una ndoto za ajabu
Wa kwanza Nyani NgabuMagufuli alikuwa na watoto 27
Kwa watu wote au wa serikali tu?Umeambiwa alinyimwa kibali sio pesa,
Kipindi cha Magufuli kutoka nje ya nchi hii ni lazima upate kibali chake.
Waitaje hiyo Bank. Mtu ambaye alikuwa ametekwa wanaruhusuje atoe fedha nyingi tena mida ambayo sio ya kazi.Mna siri jamani…Bank gani hiyo….
Allah hana uwezo hata wa kumuondoa sisimiziNi Allah ndo kamuondoa?
Wewe nae umejaza MAVI kichwaniExactly!
Hata mimi wala simtetei Magufuli.
Ila mtu akija na stori zake akiniambia Magufuli alifanya hivi au vile, nikiona simulizi yake haiingii akilini, nitahoji mpaka pale utaponishawishi zaidi.
Hutopewa specifics kwa sababu wakisema ni benki hii au ile, hiyo benki inaweza kukanisha na hao wanaodai hivyo wakaumbuka!Mna siri jamani…Bank gani hiyo….
Nyie ndio wachawi wenyeweHahaahaaaa! Legend atabaki legend tu. Wabaya wanajaribu kuzika legancy kila siku lakini wapi!
Legend hakuwahi kushindwa.... Miaka 20 anashinda ubunge, mara mbili anashinda uraisi, kafa anawashinda wafitini. Hadi leo mnajaribu kuua jina lake lakini hata jina linawashinda.
Hovyo kabisa
Kitabu hiki Kitafikaje na lini mikoani? Kama muhusika yupo humu atujuze.###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
AseeeeDr Abbas aliwapigia Mwananchi media kufuta video ya interview ya mama yake KabenderaMwananchi walizuiwa kuchapisha hiyo story kwenye magazeti yaoWaandishi wa habari wengi sana wamewahi pigiwa simu za vitisho na Dr AbbasKwa sasa Dr Abbas bado ni katibu Mkuu kwenye hii serikali ya Samia, huyu ni mtu amefanya mambo ya ajabu sana ndani ya utawala wa MagufuliWahandishi wa Habari mliotishwa na Dr Abbas kwa nini bado mko kimya?Dr Abbas aligeuka kama mhariri wa magazeti yote nchini kwa kutumia simu • • • IN THE NAME of the PRESIDENT: MEMOIRS of a JAILED JOURNALIST
Trails mkuu, Akitoa mwenyewe, ametoa mwenyewe tu.Kwamba Fingerprint ya Mo ilikuwa inatakiwa kutoa hizo Pesa ? Yaani watu wenye Power ya kuteka, kufreeze akaunti na kupigia mameneja wakae mpaka jioni kutoa pesa wanashindwa kushinikiza pesa iwe transferred popote wanapotaka au wakati wowote wanaotaka ?
This is insulting our intelligence...
Kwa nchi yetu na siasa zake lolote linawekana. Ukishakuwa kiongozi ni mungu mtu unafanya lolote lileMadai mengi ya huyo Kabendera hayaingii akilini kabisa.
Yanajenga picha ya Magufuli kuwa alikuwa mwehu na mwendawazimu kabisa licha ya kuwepo serikalini kwa zaidi ya miaka 20 ambapo alipanda vyeo mpaka kufikia kiwango cha uwaziri.
Napata shida sana kuamini mengi aliyoyaandika.
Mengi aliyoyaandika ni tabloid-ish.
wapumbavu a.k.a wanyonge wa magufuri uwezo wa kusoma vitabu hawana###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###
Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,
Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Nawakumbusheni msome kitabu
Kipo amazon. Kinauzwa on line , na mhusika anaishi uingereza. Alisema mpaka June atakuwa ametafsiri kiswahili chake. Kwa sasa kipo cha kiingereza tu.Kitabu hiki Kitafikaje na lini mikoani? Kama muhusika yupo humu atujuze.
Dhima ana dhamira ya kununua na kusoma kitabu ni kuongeza maarifa maana maarifa yamefichwa kwenye maandishi hivyo lazima usome vitabu ili kuyapata hayo maarifa yaliyofichwa kwenye maandiko ama maandishi.kwa hili la kununua vitabu na kusoma hata kikiwa kimeandikwa na nani, mjinga ni wewe usiyependa kusoma.