Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Mkuu kanisa lina mikono kuanzia serikalini hadi kwenye mashirika nyeti kama TRA, BOT nk...siku zote walikuwa wanaoperate kimya kimya thru CEOs na Wakurugenzi Waajiri ndiyo maana Ratios kwenye ajira tofauti zake ni mbingu na ardhi hata kwa wafanyakazi wahudumu!!! so ile hoja eti waislam hawajasoma ni kaputi kwakuwa nafasi zilizokuwa za STD VII hadi kidato cha nne wameshika wao kutokana na upendeleo wa HR waliowekwa strategically na Kanisa...Kama alivyosema Lisu, Ukweli lazima utaibuka tu hatakama itakuwa imechelewa kwa muda gani... Ili kuepusha machafuko kwa nchi hii dawa ni kujenga Jamii yenye fursa sawa kwa wote kama walivyofanya wenzetu wa nchi za ASIA or Mashariki ya mbali...
Kama unatazama majina ya CEOs kwa DINI zao unaweza kuwa sahihi kabisa. Hofu yangu ni kwamba hautaishia hapo tu kwenye dini za wahusika. Itabidi utazame na MAKABILA yao pia. Kwa nini Wachagga ni wengi kwenye hizi ajira; kwa nini Wakurya walikuwa wengi Jeshini; Kwa nini Wakurugenzi wengi kwenye Halmashauri ni akina Mapunda,...,na mambo yanayofanana na hayo.

Lisu Mjinga tu. Haelewi hata ngoma anayoicheza ni kwa manufaa ya nani.
 
Mbona mimi nafahamu waislamu wengi ambao tuma mtizamo mmoja kuhusu hili jambo. Na pia wakristu wengi tunaopingana nao? Au labda tumekosea dini zetu?
Msitazamo wangu kwa sasa hauwezi kuwa influenced ka huyo lukuvi.
Ni swala tu la uraia. Basic needs za kibinadadamu. Kuwa nchi ijulikane. Tanganyika na Zanzibar. Muungano uwe katika yale mambo tulioweza kuungana.simple. hapa sioni dini inaingiaje
 
Kama unatazama majina ya CEOs kwa DINI zao unaweza kuwa sahihi kabisa. Hofu yangu ni kwamba hautaishia hapo tu kwenye dini za wahusika. Itabidi utazame na MAKABILA yao pia. Kwa nini Wachagga ni wengi kwenye hizi ajira; kwa nini Wakurya walikuwa wengi Jeshini; Kwa nini Wakurugenzi wengi kwenye Halmashauri ni akina Mapunda,...,na mambo yanayofanana na hayo.

Lisu Mjinga tu. Haelewi hata ngoma anayoicheza ni kwa manufaa ya nani.
WildCard,

Unataka kuniambia hakuna ukabila wala udini kwenye taasisi na idara za serikali.

Kuhusu Tundu Lissu, hakumtukana Nyerere kaeleza ukweli.

Kwani ni uongo hakuwapoteza kina Aboud Jumbe na Dourado walipohoji muungano.

Tatizo mna mahaba sana na Nyerere mpaka mnasahau kama alikuwa binadamu.
 
Last edited by a moderator:
Wazee, grisi ya Taifa kumwagiwa maji ya kuwasha inaniuma sana

Kama ingekua hoja haziyumbishwi tungefahamu mambo mengi sana kwa kila mada inayotolewa.
Lakini cha ajabu ni kudakia mambo hata elimu hawa nazo.
Una shangaa mtu anauliza mapepo kwa waislam ana sahau kila uchao baadhi ya mikusanyiko hutoa waumini wao mashetani. Walipaswa wawa ulize wachungaji wao hivi wanatoka nayo wapi au wanafuga?
Suala jingine, bila shaka yapo maandiko ktk biblia Yesu alijaribiwa na shetani ,tujiulize hili, je kwa nini imekua hivyo? Jamani tusome sana vitabu vitakatifu. Hayo ni mawazo yangu na wala sidhani kama nimeudhi na kama nimeudhi natanguliza samahani. Sisi wote asili yetu ni moja Adam (a.s) na ndio maana tunaitwa bin adam.
 
Huyo Nyerere alikuwa anakula nguruwe,na akiingia ukumbini WAZEE wote wa gerezani wanasimama na kuitikia ndio baba hata kama wamemzidi umri-usicheze na akili

Dadangu,

Kama yule haramia Nyerere angalikua na akili japo kiduchu, kama hapo unavyodai!?...basi asingalikufa kwa "mkanda wa jeshi", tena kwa kuharisha weeks kadhaa za mwisho wa uhai wake kabla ya mauti kumburuta! Duuh!

Huyo mtu hakua responsible hata kwenye ndoa yake binafsi,au!?...yaani hakua na ile self-discipline!

Nyerere alikua anahubiri upuuzi wa ati "ujamaa na kujitegemea"...kakaa madarakani takriban myaka thelathini-30 bloody years!...na hakumudu hata kujenga hospital yenye matibabu bora kwa yeyote!?

Matokeo yake kenda kufia kwa aibu na kashfa kwenye hospital za wale "mabeberu" na "makaburu"...ati walewale alokua anawatukana na kuwalaumu wakti wa utawala wake woote!? Daah! Teeh! Teeh! Teeh! Viongozi wa Kiafrika bana!

Nyerere hakua kiongozi alikua ni tapeli na jambazi tu!...kama majambazi na matapeli wangine,au!?

Tafadhali jaribu kujikita kwenye mada,au kama vipi kaa pembeni kama alivyoamua yule Babu yako ulomwita hapa jamvini...yaani Mzee Mag3!?

Ahsanta.
 
wakristu hawawapendi waislam kwa kuwa waislmu ni watu hatari sana na wanahubiri mambo ya hovyo hovyo.huwez hubiri kuuwa wengine halafu upendwe.jirudini na mumrudie allah wenu na mtende kama allah alivyowataka

Fanya tafiti ama pata mjuzi wa dini ya Kiislam akuelimishe badala ya kuwa projected na western propaganda. Unless unazungumzia kinyume kwasababu kila siku tunaona Waisrael wanawaua ndugu zao Wapalestina! Millions of Muslims waliuawa wakati wa November Crusade! wale waliokula kiapo cha Bibilia ku protect humanity ndio walioendesha mauaji ya kimbari Burundi, Rwanda sasa Mali, C.Africa, Burma, Red Indians, Australian Aborigines, New Zealand Moure etc... Kanisa ilikuwa Agent wa wakoloni Africa ambapo wanaendelea hadi leo kupitia Western Imperialism!!!, Kanisa limetumika kusafirisha na kuhifadhi silaha ktk nchi za maziwa makuu, kanisa linakwapua madini yetu kwanjia ya haramu (rejea mauaji ya prof wa chuo kikuu), Kupitia kanisa Waafrica wengi wamepandikiziwa magonjwa mengi yakiwemo Ukimwi, Ebola, Kifua Kikuu na Cancer ( Rejea mauaji ya wakemia mkuu), Thru churches Watoto wa Libya waliambukizwa magonjwa ya Ukimwi na madaktari waliokula kiapo via Bible!... Mauji ya Libya, Iraq, Syria, Philippines, Equador, Hiroshima, Nagasaki yamefanywa na wale waliokula kiapo thru Bible! Hapa Tanzania ni suala la muda tu kabla ya kuanza kushuhudia vifo vya raia wengi waliotumia Dume na Net za Mbu kwa Msaada wa watu wa kanisa!!! In short: toka Enzi za churches Movements karne nyingi iliyopita Ukristo na Kanisa umechangia mauaji na unyonyaji mkubwa wa Mwanadamu ingawa kuna watu walijaribu kurekebisha baadhi ya vipengele kama Martin Luther et al... Kanisa ni Mfumo wa kijasusi yenye kuwanufaisha wachache wenye kiu ya kumiliki dunia! Ndio maana vyumba vya kuungama huwa protected na highly sophisticated security gadgets... The aim and objective ya kanisa among others ni ku-impose world Order!!! ...
 
Kama unatazama majina ya CEOs kwa DINI zao unaweza kuwa sahihi kabisa. Hofu yangu ni kwamba hautaishia hapo tu kwenye dini za wahusika. Itabidi utazame na MAKABILA yao pia. Kwa nini Wachagga ni wengi kwenye hizi ajira; kwa nini Wakurya walikuwa wengi Jeshini; Kwa nini Wakurugenzi wengi kwenye Halmashauri ni akina Mapunda,...,na mambo yanayofanana na hayo.

Lisu Mjinga tu. Haelewi hata ngoma anayoicheza ni kwa manufaa ya nani.

Thibitisha Ujinga wa Mhe Lisu...otherwise wewe ni katika wale wale mliozeoa vya kunyonga mnaishi katika uongo na kamwe hamuwezi kuishi katika ukweli! Lisu ni Mkweli na anasimamia katika ukweli hata kama unamachungu kiasi gani...I salute him kwa kuthubutu kuonyesha madhaifu yaliyopo na chanzo za madhaifu hayo! Tanzania Itakuwa salama zaidi pakiwa na USAWA katika Jamii yetu...
 
Wee mgalatia aka Kafiri!

Tafadhali hayo masuali yako yoote hapa si pahala pake...au ndo mmeshindwa hoja za maana,na kama dasturi yenu mnakuja kumuharibia thread yake Maalim Mohamed Said!? Daah!

Hii yaonyesha udhaifu na woga mkubwa mlionao!...yaani mlizoea kubebwabebwa takriban katika kila nyanja na yule haramia mnafiki Nyerere!...na mlisahaulishwa kuishi katika mazingira ya mijadala ya kitaaluma au kukosolewa unyama wenu,sio!?

Kwa kifupi, peleka hayo masuali yako kule jukwaa la udini wapo akina Gavana,Ally Kombo,Kahtaan na Maulamaa wangine...nina hakika watakupa tu mipini mizuri na utaridhika, au!?

Ahsanta sana!

Mkuu swali sijlielekeza kwako kwanini usiache niliyemuuliza akanijibu hofu yako ni nini hasa. Huko unakonielekeza kwenda inamaana mleta mada hakujui mpaka thread yake alaileta hapa

Na kwanini waislam mliowengi mnahusisha kushindwa kwenu na masuala ya dini hivi mnashindwa kujishughulisha kabisa.

Kama swali limekushinda ita wenzio waje kukusaidia sio kupiga kelele hapa hazita kusaidia lolote acha wajuvi mambo wakudadavulie.
Tafadhari, CHIZI MAARIFA msaada wako kwa maswali yangu hapo juu.

NACK TANGANYIKA
 
Jee, ruksa ni William Lukuvi tu, Mtanganyika, kuwa na hofu kuwa Zanzibar itakuwa nchi ya Kiislaam?

Naona maswali umeyapiga chenga. Hahaha, Jee, umeshikwa na hofu?

Nadhani hofu ya Lukuvi iko ktk kushindwa kwa uchaguzi kwa chama chake ndio maana pamoja na Muislam Kikwete kuona dini yake inadhalilishwa kwa kuhofiwa ameshindwa kumfuta kazi Lukuvi kwasababu ameongea ukweli kuhusu chama chake kushindwa huko.

BACK TANGANYIKA
 
WildCard,

Unataka kuniambia hakuna ukabila wala udini kwenye taasisi na idara za serikali.

Kuhusu Tundu Lissu, hakumtukana Nyerere kaeleza ukweli.

Kwani ni uongo hakuwapoteza kina Aboud Jumbe na Dourado walipohoji muungano.

Tatizo mna mahaba sana na Nyerere mpaka mnasahau kama alikuwa binadamu.
Ritz,

Mwalimu alikuwa mlinzi na msimamizi mzuri wa KATIBA kwa maneno, kauli na vitendo. Hili KATIBA MPYA linalotuvuruga sasa linatokana kwa sehemu kubwa na Jakaya wetu kutoilinda na kuitetea katiba yetu ya JMT. Aboud Jumbe alitaka kuvunja Katiba yetu na Dourado wake kama Amani Abeid Karume alivyofanya mwaka 2010 na Jakaya akamtazama tu. Linatugharimu sasa.


Mzee Mohamed Said analijua sana hili tangu miaka ile ya sitini ingawa yeye kalipeleka KIDINI zaidi!
 
Last edited by a moderator:
Dadangu,

Kama yule haramia Nyerere angalikua na akili japo kiduchu, kama hapo unavyodai!?...basi asingalikufa kwa "mkanda wa jeshi", tena kwa kuharisha weeks kadhaa za mwisho wa uhai wake kabla ya mauti kumburuta! Duuh!

Huyo mtu hakua responsible hata kwenye ndoa yake binafsi,au!?...yaani hakua na ile self-discipline!

Nyerere alikua anahubiri upuuzi wa ati "ujamaa na kujitegemea"...kakaa madarakani takriban myaka thelathini-30 bloody years!...na hakumudu hata kujenga hospital yenye matibabu bora kwa yeyote!?

Matokeo yake kenda kufia kwa aibu na kashfa kwenye hospital za wale "mabeberu" na "makaburu"...ati walewale alokua anawatukana na kuwalaumu wakti wa utawala wake woote!? Daah! Teeh! Teeh! Teeh! Viongozi wa Kiafrika bana!

Nyerere hakua kiongozi alikua ni tapeli na jambazi tu!...kama majambazi na matapeli wangine,au!?

Tafadhali jaribu kujikita kwenye mada,au kama vipi kaa pembeni kama alivyoamua yule Babu yako ulomwita hapa jamvini...yaani Mzee Mag3!?

Ahsanta.
Akiongea maneno kama haya gombesugu wala hatumshangai. Ni muathirika mkubwa yeye na jamaa zake kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ambayo Mwalimu aliyalinda kwa nguvu zote kwa kutumia Muungano huu.

Aliyetushangaza wengi ni Tundu Lisu wa kule ndani Singida!
 
Thibitisha Ujinga wa Mhe Lisu...otherwise wewe ni katika wale wale mliozeoa vya kunyonga mnaishi katika uongo na kamwe hamuwezi kuishi katika ukweli! Lisu ni Mkweli na anasimamia katika ukweli hata kama unamachungu kiasi gani...I salute him kwa kuthubutu kuonyesha madhaifu yaliyopo na chanzo za madhaifu hayo! Tanzania Itakuwa salama zaidi pakiwa na USAWA katika Jamii yetu...
Ujinga mkubwa kabisa wa Tundu Lisu ni kukata mti alioukalia, akifaidi matunda yake. TL analipwa na Bunge la JMT ambalo ni tunda halisi la Hati ile ya Makubaliano anayoikejeli na kumkejeli aliyeisaini kuwa alizoea vya kunyonga!

Kwa nini Tundu Lisu anakubali kula vibudu, vilivyotokana na mzoga ulionyongwa kiharamu?
 
jackline, nimepita tu baada ya kuliona jina langu limetajwa na sitasumbuka kusoma zaidi yaliyomo ndani ya thread hii for that would be stooping and I choose never to stoop. Mohamed Said? Ndio nani huyo tena? Hilo jina nililifuta kabisa katika orodha ya...ooops, I had promised myself not to ever stoop...! Samahani jackline, nakitoa, huo muda wa kupoteza sina! Kwa sasa tunajadili namna ya kujenga msingi imara wa taifa...Katiba inayoitambua Tanganyika.

Mzee Mag3,

Sasa hujioni kwa attitude kama hii unakua umejifungia ndani ya box lako pekee!?...yaani unaogopa kuchomoka humo ndani ya comfort zone yako,au!?

Kwahiyo unataka kutuaminisha yakua watu takriban woote ambao weye unawapa chance ya kufanza nao majadiliano ya kitaaluma au hata ya kawaida...ni wale tu wenye mitazamo amma fikra zishabihianazo na zako!? Daah!

Sasa weye kama unadai yakua huyu Maalim Mohamed Said, ati ni "mtu hatari" sana kwa "Taifa lenu"!?...pia ni mtu "anaesababisha" migongano ndani ya nchi na shutuma nyanginezo kadhaa...ambazo mpaka kesho hamuwezi/mmeshindwa kuzithibitisha!? Je unakhis hivi kumkimbia na huku ati kususia kufanza nae mijadala ndo itaepusha hizo "hatari",mnazodai analeta hapo nchini!?

Kwanini msifanze ile positive engangement, which may lead into meaningful/constructive discussion with logical arguments,au!?

Mie binafsi nakhis weye kuamua kungia mitini, au kujaribu kumbeza mtu mzima na Mwanataaluma mwanzio Maalim Mohamed Said...basi hiyo yako ni irresponsible attitude na huna uzalendo asilan!...yaani unakimbia wajibu wako kwa Taifa,au!?

Tafadhali rejea hapa jamvini...njoo uje kuzungumza masuala yanayokhusu mustakabala wa Taifa na Wananchi wangine!

Hao Waislam au huyo Maalim Mohamed Said...ndo wenzenu hapo nchini hata mkifanza lolote/chochote...watabaki tu kuwa miongoni mwa Watanzania wenzenu! Sasa badili dasturi na uanze some sort of reconciliation and/or positive engagement with Maalim Mohamed Said!?

Hivi kama nyinyi Watanzania wenzetu ambao ndo wasomi wa Taifa hili na ndio tegemeo letu, yaani mnashindwa hata kuwa-flexible and tolerable to each other!?.... Je sisi Wananchi/Watanzania wenzenu wa hali ya chini tulio wengi, khasa sisi tulio huku vijijini na bila ya elimu ya kutosha!...je tufanze nini,jamani!? Daah!

Natumai utanifahamu japo kiduchu...na utaacha kusikiza hawa watoto waduchu hapa jamvini wenye kukuzidishia farka na migongano!

Ahsanta sana.
 
Ritz,

Mwalimu alikuwa mlinzi na msimamizi mzuri wa KATIBA kwa maneno, kauli na vitendo. Hili KATIBA MPYA linalotuvuruga sasa linatokana kwa sehemu kubwa na Jakaya wetu kutoilinda na kuitetea katiba yetu ya JMT. Aboud Jumbe alitaka kuvunja Katiba yetu na Dourado wake kama Amani Abeid Karume alivyofanya mwaka 2010 na Jakaya akamtazama tu. Linatugharimu sasa.


Mzee Mohamed Said analijua sana hili tangu miaka ile ya sitini ingawa yeye kalipeleka KIDINI zaidi!
Ulinzi kwenye yapi unakumbuka Nyerere alichosema kwenye mahojiano na gazeti la Observer mwaka 1968.
 
Last edited by a moderator:
WildCard,

Unataka kuniambia hakuna ukabila wala udini kwenye taasisi na idara za serikali.

Kuhusu Tundu Lissu, hakumtukana Nyerere kaeleza ukweli.

Kwani ni uongo hakuwapoteza kina Aboud Jumbe na Dourado walipohoji muungano.

Tatizo mna mahaba sana na Nyerere mpaka mnasahau kama alikuwa binadamu.
Ritz,

I beg to correct you, they dont really love Nyerere and they dont have blind love for him. They use his name and legacy falsely and especially when they are connered with Truth like the truth TL dared to speak openly in that sacred place in Dodoma on live National TV.

IF THEY LOVE HIM THEY WOULD NOT THROW AWAY HIS LEGACY OF ARUSHA DECLARATION AND LEADERSHIP ETHICS, WHAT THEY ARE DOING IS CHERRY PICKING HIS POLICIES WHEN AND WHERE IT FITS THEIR PURPOSE.
 
Last edited by a moderator:
Utavunja mabeka na kusuka kichwa bure.
Wewe unatumia Moyo kufikiri wakati mimi ninatumia kichwa. unalazimisha kuni drug to your level of religious conflict, wakati tayari nimekuambia kuwa thats not my battlefield. Siwezi kutafuta sifa ya imani toka kwa wanadam, hiyo nitaitafuta kwa Mungu ninayemuamini.
Hata kama waislam au wakristo walikuwa na mchango katika kuleta uhuru wa Tanganyika, dhambi ipo wapi hapo, maana nchi inaundwa na watu kutoka makundi tofauti ya kijamii, kuanzia makundi wasomi, waumini/dini, makabila, wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara, watoto na mengine mengi ambao kwa umoja hutajwa kama wananchi na walikuwa na mchango wao katika harakati hizo, lakini wakaamua kuzika tofauti zao hizo na kuamua kujitambulisha kama wananchi/waafrika/wapigania uhuru.
Kuna posts humu zipo tayari kwa hicho ukitakacho, siyo mimi.
Kwangu mimi tofauti ya rangi, umri, dini, kimo, unene, wembaba, kabila, elimu kwangu zote ni tofauti ambazo huzichukua kama nakshi zipambazo jamii ya mwanadam ili iwe sehemu isyoishiwa changamoto kwa lengo la kumfanya mwanadam aendelee kutumia akili zake kiazi hata kizazi.
NIMEMALIZANA NA WEWE.

Unaweza ukawa unatumia kichwa kufikiri lakini kikawa kimejaa maji ya Nazi.Na hili umelithibitisha kwa kua unatafuta sifa za kiimani kwa yule mzungu Aliyesulubiwa

kwako wewe tofauti za dini ndo zinamfanya lukuvi awe na hofu na uislam,Islamphobia.dah!

Ugalatia wako uskufanye uchukie harakati za waislam katika nchi hii.dhambi ni kuikataaa.

Mfumo kristu umekuathiri sana uwezo wako wa kufikiri

KAMALIZANE NA LUKUVI
 
Ulinzi kwenye yapi unakumbuka Nyerere alichosema kwenye mahojiano na gazeti la Observer mwaka 1968.
Nakumbuka kidogo kwamba angeiacha Zanzibar iende kama wasingeutaka Muungano huu. Mwaka 1995 pale Kilimanjaro Hotel alilieleza upya hili na kabla ya hapo zile "vurugu" za G55 alilisema tena.

Mwalimu hakuwa na mchezo kwenye KATIBA. Viongozi wetu wa sasa sio. Wanakimbilia pensheni ya Mo Ibrahim utadhani wanazotuibia hazitoshi!
 
Ritz,

I beg to correct you, they dont really love Nyerere and they dont have blind love for him. They use his name and legacy falsely and especially when they are connered with Truth like the truth TL dared to speak openly in that sacred place in Dodoma on live National TV.

IF THEY LOVE HIM THEY WOULD NOT THROW AWAY HIS LEGACY OF ARUSHA DECLARATION AND LEADERSHIP ETHICS, WHAT THEY ARE DOING IS CHERRY PICKING HIS POLICIES WHEN AND WHERE IT FITS THEIR PURPOSE.
Punjab,

Usidhani ni WATANZANIA wote tulilitupa Azimio la Arusha. Kwanza lilipotupwa hatukuulizwa. Tupilieni mbali na huu Muungano ili kumaliza kabisa legacy ya Mwalimu. Kwa kuwa hayupo tena na hatarudi hakuna shida. Atabaki mioyoni mwa baadhi yetu tuliomkubali.
 
Back
Top Bottom