Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Hautaki majibu yasiyokupendeza. Niliishakuambia kuwa mimi Uislamu haunitishi. Haunitii hofu.

Sasa, wewe, jee unataka serikali ya Muungano ya Tanzania iwe ya Kiislamu? Au kwa maneno mengine, Sharia ndio ituongoze?

Amandla........

Uislamu hauko kwa ajili ya kutisha/kuogopesha mtu sasa wewe kenge unakuja na hoja zako dhaifu hapa.

Nani amekwambia waislamu wanataka JMT iwe ya kiislamu? Watu wengine bwana sijui ni viroba daah!
 
Mi nahofu tukiwa na serikali 3 Tanganyika itakuwa nchi ya kikristo. Teh teh teh!
 

Haika,
Ikiwa utaanzia hapo hakika hutoona kile kilichojificha.

Lakini ikiwa utaangalia historia nzima ya Zanzibar hapo ndipo utakutana na
mengi.

Nakushauri hebu pitia uzi za nyuma kuna mengi nimeeleza kuhusu Zanzibar.
 
Hili neno,hawa madrastul bora wafe tu sisi tukae kwa amani,kuna huyu mwingine gombesugu ndio haohao
 
Last edited by a moderator:
Uislamu hauko kwa ajili ya kutisha/kuogopesha mtu sasa wewe kenge unakuja na hoja zako dhaifu hapa.

Nani amekwambia waislamu wanataka JMT iwe ya kiislamu? Watu wengine bwana sijui ni viroba daah!

Kumbe wewe ndio FaizaFoxy!

Amandla......
 
Niliwajuza mods mapema sana,uzi umegeuka muhazara wa dini

Viumbe kama ninyi mtapa taabu sana katika kufahamu ukweli!

Kwani bado mmefungwa katika fikra mgando za Lukuvi!

Nyie wapakwa mafuta mmeathirika sana na mafundisho yasoruhusu masuali kwa wachungaji kondoo hapo kanisani!

Wewe mtu mzima unaambiwa hapa JF, hiyo picha ya mzungu mnayoweka sio Yesu ni jamaa tu, unabisha na kuwa mkali kiasi unataka kurusha ngumi!

Badala uende kwa mchungaji wako ukamuulize eti Baba mchungaji, JF wanasema ile picha ya Yesu sio yeye ni mcheza sinema tu?!

Lakini kwakua mmejengwa kati nidhamu ya woga na kutoruhusiwa kuuliza maswali, kamwe hakuna mgalatia miongoni mwenu anaeweza msogelea Mchungaji au Paroko na kuuliza suali hilo, HAKUNA!!!

Ukijitahidi kubana makalio na kujitoa ufahamu ukauliza, sana sana utaambiwa umepatwa na MAPEPO kwahivo uombewe!

Wacheni woga nyie wapakwa mafuta....tulieni hapa tuwaoneshe yalo kweli na HAKI.

Waislam tuko huru kuzungumza na kuuliza masuali bila ya woga na ndio maana Dini yenu feki tunaijua nje ndani.

Tulieni tuwafunze historia ya kweli ya nchi hii na mkimsingizia Yesu wa kweli uongo sisi hatutakaa kimya!

Tutawaambia UKWELI nyie wapakwa mafuta hata kama utawauma!
 
Mbona una wivu wa kike kamanda Kwani umelazimishwa upite huku ndio maana kumeweka majukwaa tofauti mezeni dawa hivyo hivyo hatakama ni chungu...

Kamanda usiniambie nina wivu wa kike,nijibu kwa nini mnaleta miadhara kwny jukwaa la siasa,hakuna majukwaa ya dini nje na ndani JF
 
Wewe mbona muhaya wa Kamachumu, mapenzi na Chadema yametoka wapi.

katika pumba hizi za mohamed said, hakuna pahala kaijata chadema, sasa wewe unaingiza vipi hoja za chadema hapa?
 
Kamanda usiniambie nina wivu wa kike,nijibu kwa nini mnaleta miadhara kwny jukwaa la siasa,hakuna majukwaa ya dini nje na ndani JF

Mkuu,

Hapo Maalim Mohamed Said anajaribu kuelezea jinsi spread of Islamophobia within Tanzania Politic hierarchies!

Can ya see/note the distinct difference here!?
 

Since you raised a question, do not shy away from it.

Is "Militant Islam" right or not?
 
Kweli chuki za kidini zipo,hukuti MZUNGU akitajwa kuhusu UTUMWA ni MWAARABU tu.
 
Kweli chuki za kidini zipo,hukuti MZUNGU akitajwa kuhusu UTUMWA ni MWAARABU tu.
 
Wajinga ndio waliwao, na siku zote m2 akikuzidi akili atakutawala upende usipende. Thanks b2 GOD almighty im a Christian aka ruling class.
 
Kweli chuki za kidini zipo,hukuti MZUNGU akitajwa kuhusu UTUMWA ni MWAARABU tu.

Mkuu,

Hawa kenge wa kigalatia woote hapa jamvini...hata hao wajifanzao ati hawana dini/hawaamini Mungu...ni wanafiki na matapeli tu kama yule kenge mwenzao Nyerere!

Huyu Maalim Mohamed Said...amewawekea thread tangia jana,embu tazama wanavyoleta viroja na chuki zao za kinyama!? Daah!

Khalaf,punda wa aina hii hii ati ndo wajifanza wao ni "wasomi","wamestaarabika" na "wazalendo" wa Taifa hilo!? Daah!

Yaani kila kafiri/mgalatia anayengia hapa jamvini...basi kwa njia moja amma nyangine lazim aonyeshe chuki zake kwa Uislam,Waislam au hata mleta mada binafsi!? Daah!

Ahsanta.
 
wewe acha kujidanganya, wakristo hasa wakatoliki Wwa Tanganyika mna chuki Sana na uislam na waislam, hivi zile pumba aizoomwaga #Lukuvi Ni nini kama SI chuki na uislam??

Kwa hiyo lukuvi ni mwakilishi wa wakatoliki?kama amekukwaza sio wakatoliki wote, acha kutukana dini za watu, wakatoliki tuwe na chuki na waislamu kwa lipi? Hebu nendeni shule mkasome muongeze upeo wa kufikiri sio ku-generalize!!!
 
Wajinga ndio waliwao, na siku zote m2 akikuzidi akili atakutawala upende usipende. Thanks b2 GOD almighty im a Christian aka ruling class.

Mjinga ni yule anaejengea kale kasanamu na kuanza kukaabudu.

Mjinga ni yule mwenye PhD anae nunua picha ya mzungu alievaa nepi msalabani na kuiweka nyumbani kwake na kuanza kuiabudu.

Wewe haupo katika kundi hilo?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…