Hahahahahah, nchi iliyokuwa na wakimbizi wengi duniani ni Tanzania, juzi juzi tu, Jee, wale walikimbia nini makwao na wakarundikana Tanzania? nikukumbushe?
Halafu wale Watanzania waliojiripua na au kuhamia nchi nyingi za Europe, walikimbia nini? Hebu muulize jamaa yako,
MzeeMwanakijiji na au wajiitaowabeba maboksi (wengi tu) wam humu, wao walikimbia nini hapa?
Kwanza napenda uelewe, population ya natives wa Europe aka wazungu, inapunguwa ni kwa kuwa hawazaliani sana, unategemea watazaliana sana na wao wanaoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake, kama hiyo haitoshi, sasa wanaoana na mbwa. Unategemea nini kitawakomboa? Uislaam pekee:
Hebu jismee hii habari kidogo, upate faida:
The Islamic future of Britain
Britain is in denial. If population trends continue, by the year 2050, Britain will be a majority Muslim nation
Soma zaidi:
The Islamic future of Britain - The Commentator