Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Nauliza hivi, Nyerere ana heri zipi? nae alitumikia Serikali isiyo na dini kwa miaka 26? au kuna siri ambayo ni ngumu kuiandika humu?

Kutumikia Serikali isiyo na dini haina maana kuwa yeye hakuwa na dini. Nyerere ana heri katika ukatoliki wake ambao haukuhusu. Ni kama vile Kikwete kama ni Alhaj au la hainihusu.

Amandla.....
 
WEWE mwanamke kaa ukielewa hata sheikh Ponda matofali akiwa rais wa nchi,ruling class itabaki kuwa ile ile,inabidi mupunguze kukariri hiyo albadili hili muwende sambamba na maendeleo

Toka jana wewe umeshupaa humu kuandika pumba tu,hueleweki wala huna point, Hebu kamtandikie mumeo mlale, unatujazia server bila sababu ya msingi
 
Unatetemeka kwa hofu, ungeandika kwa maandiko mekundu kama hujajawa na hofu, isiyo mfano< you are terrified just by the name Islam. Una tofauti ipi na Lukuvi hata usiwe na hofu?

Hebu nakuomba wewe, kama huna hofu na Uislam, nenda kibanda maiti Zanzibar ukayaseme aliyoyasema Lukuvi. Nakwambia maawee! si wewe wala si Lukuvi wala si Pengo anaethubutu hilo. Mtaongea hayo huku huku Tanzania bara tena ndani ya makanisa tu, Zanzibar! Thubutu!
Anahusikaje?Bibi Naona mmepata ground ya kuonesha ushetani wenu mnakomaa kinoma!Mbona wewe usiende Yerusalemu ukasema huo mji ni wa waislamu?
 
Kutumikia Serikali isiyo na dini haina maana kuwa yeye hakuwa na dini. Nyerere ana heri katika ukatoliki wake ambao haukuhusu. Ni kama vile Kikwete kama ni Alhaj au la hainihusu.

Amandla.....

Sasa umekubali kuwa kama kawaida yake ya kusema uwongo alikuwa anatumia huo uwongo wake kujifanya Serikali haina dini huku akitumia ukatoliki wake upande wa pili, ni lazima mumpe utakatifu na kuwa mtu wa heri kwa sababu alikuwa analitumikia kanisa, na haya ya #Lukuvi ni muendelezo tu wa viongozi wa serikali kulitumikia kanisa
 
Dunia nzima itakuwa nchi ya Kiislaam, wacha Tanzania. Kwa kuanzia Zanzibar, si mbaya. Huku twaja tartiiiibu. Ulaya watu wameshachoka na dini za kuoana wenyewe kwa wenyewe na wanaingia kwenye Uislaam makundi kwa makundi. Hulijui hilo?

Lazima Lukuvi awe na hofu, na si Lukuvi tu, kila mpenda maovu ni lazima awe na hofu na Uislaam.

Mnajidanganya. Idadi kubwa ya waislamu Ulaya ni wakimbizi kutoka maovu ya waislamu wenzao. Unadhani kwa nini wakina Le Pen na UKIP wanapanda chati? Hapa kwetu mnawapoteza watu kwa vitendo vyenu vya kuua wanaowapinga, kuwamwagia tindikali na kuwachomea sehemu zao za kuabudu. Mtabaki wenyewe mkijibalagua humu kwenye mitandao.

Amandla.....
 
Kutumikia Serikali isiyo na dini haina maana kuwa yeye hakuwa na dini. Nyerere ana heri katika ukatoliki wake ambao haukuhusu. Ni kama vile Kikwete kama ni Alhaj au la hainihusu.

Amandla.....

Nyerere Ukatoliki wake umehusisha maamuzi yake mengi yakawa mabovu, kama Mfumo Kristo tunauongelea sasa hivi, utasema jee haunihusu? Nataka kujuwa ni heri ipi aliyonayo Nyerere?

Mimi nnakutajia kimoja kati ya mengi nnayoyajuwa yasiyo na heri aliyoyafanya Nyerere, sasa wewe nitajie kimoja chenye heri, nami ntaongeza kingine Naanza:

Alidhulumu mali na roho za watu alipotaifisha (dhulumu kwa nguvu) mali zao. Jee, hiyo ni heri ya Kikatoliki?
 
Sasa umekubali kuwa kama kawaida yake ya kusema uwongo alikuwa anatumia huo uwongo wake kujifanya Serikali haina dini huku akitumia ukatoliki wake upande wa pili, ni lazima mumpe utakatifu na kuwa mtu wa heri kwa sababu alikuwa analitumikia kanisa, na haya ya #Lukuvi ni muendelezo tu wa viongozi wa serikali kulitumikia kanisa

Lazima ulizaliwa juzi. Nyerere hajawahi kuficha imani yake wala kumzuia mtu kufuata imani yake au kutofuata imani yake. Kwenye utawala ndipo hakuangalia dini ya mtu. Hili hauwezi kuelewa maana kwako wewe Ummah ni muhimu kuliko chochote. Hautaweza kumpa Kafir haki yake pale anapodhulumiwa na muislamu mwenzako.

Amandla....
 
Dunia nzima itakuwa nchi ya Kiislaam, wacha Tanzania. Kwa kuanzia Zanzibar, si mbaya. Huku twaja tartiiiibu. Ulaya watu wameshachoka na dini za kuoana wenyewe kwa wenyewe na wanaingia kwenye Uislaam makundi kwa makundi. Hulijui hilo?

Lazima Lukuvi awe na hofu, na si Lukuvi tu, kila mpenda maovu ni lazima awe na hofu na Uislaam.

Jipe moyo na ndoto za Ndaria kwani huwezi kufika unakotegemea.Nitaamini hilo tu ntakapoona yamewezekana mashariki ya kati nchi shetani 11 alijaribu taifa la mungu 1973 kichapo walichikipata hadi leo wamefyata!Kama unadhani tatizo lenu ni ukristo hapo Somalia,Afganistan,Misri,Libya( walikomuua mtumishi wa Mungu Col. Ghadafi) nipe data walihusikaje zaidi ya ujinga wa kurithishana!
 
Anahusikaje?Bibi Naona mmepata ground ya kuonesha ushetani wenu mnakomaa kinoma!Mbona wewe usiende Yerusalemu ukasema huo mji ni wa waislamu?

@Mount,
Read about Salahadin Al Ayoubi or watch movie The Kingdom of Heaven
 
WEWE mwanamke kaa ukielewa hata sheikh Ponda matofali akiwa rais wa nchi,ruling class itabaki kuwa ile ile,inabidi mupunguze kukariri hiyo albadili hili muwende sambamba na maendeleo

Hayo yalisemwa hata na (Mfalme) Shah wa Iran, Mfalme Haile Sellasie wa Ethiopia., Ferdinand Markos wa Philippines. Kwa uchache tu.

Unajuwa kilichowakuta?

Hofu ya Lukuvi unaielewa?
 
Toka jana wewe umeshupaa humu kuandika pumba tu,hueleweki wala huna point, Hebu kamtandikie mumeo mlale, unatujazia server bila sababu ya msingi
another lost cause,product ya madrasa-hii Jf imekusanya kila aina ya uozo
 
Nyerere Ukatoliki wake umehusisha maamuzi yke mengi yakawa mabovu, kama Mfumo Kristo tunauongelea sasa hivi, utasema je haunihu? Nataka kujuwa ni heri ipi aliyonayo Nyerere?

Mimi nnakutajia kimoja kati ya mengi nnayoyajuwa yasiyo na heri aliyoyafanya Nyerere, sasa wewe nitajie kimoja chenye heri, nami ntaongeza kingine Naaonza:

Alidhulumu mali na roho za watu alipotaifisha (dhulumu kwa nguvu) mali zao. Jee, hiyo ni heri ya Kikatoliki?
Alifanya hivyo kujaribu kuwakomboa ktk utumwa wa ujinga (shule) ingawaje alishindwa kuwashawishi kwani nyie ni conservatives na wapangaji wa kudumu wa ujinga na ushetani!
 
Nyerere Ukatoliki wake umehusisha maamuzi yke mengi yakawa mabovu, kama Mfumo Kristo tunauongelea sasa hivi, utasema je haunihu? Nataka kujuwa ni heri ipi aliyonayo Nyerere?

Mimi nnakutajia kimoja kati ya mengi nnayoyajuwa yasiyo na heri aliyoyafanya Nyerere, sasa wewe nitajie kimoja chenye heri, nami ntaongeza kingine Naaonza:

Alidhulumu mali na roho za watu alipotaifisha (dhulumu kwa nguvu) mali zao. Jee, hiyo ni heri ya Kikatoliki?

Mfumo Kristu ndio unaokuwezesha wewe kumsemea ovyo. Kwani umeambiwa kuwa na heri ndio kuwa haukuwahi kukosea? Nyerere alifanya mabaya bila shaka na hata yeye mwenyewe alikuwa wa kwanza kukiri. Sisi wakristu tunaamini katika toba. Hata wewe ukitubu na kuangama maovu unayoyafanya unaweza kupata heri. Mbona alitaifa mashule na hospitali za wakatoliki ili wakina FaizaFoxy wasipate kisingizio cha kutokwenda shule na hao hao waliotaifishiwa mali zao ndio wanaona ana heri?

Sina muda wa kushindana na wewe juu ya mazuri na mabaya ya Nyerere.

Mbona mnayaona mabaya ya Nyerere tu lakini ya Muislamu mwenzenu Hayati Karume hamyaoni? Ni ya Ummah tena?

Amandla......
 
Mnajidanganya. Idadi kubwa ya waislamu Ulaya ni wakimbizi kutoka maovu ya waislamu wenzao. Unadhani kwa nini wakina Le Pen na UKIP wanapanda chati? Hapa kwetu mnawapoteza watu kwa vitendo vyenu vya kuua wanaowapinga, kuwamwagia tindikali na kuwachomea sehemu zao za kuabudu. Mtabaki wenyewe mkijibalagua humu kwenye mitandao.

Amandla.....


Hahahahahah, nchi iliyokuwa na wakimbizi wengi duniani ni Tanzania, juzi juzi tu, Jee, wale walikimbia nini makwao na wakarundikana Tanzania? nikukumbushe?

Halafu wale Watanzania waliojiripua na au kuhamia nchi nyingi za Europe, walikimbia nini? Hebu muulize jamaa yako, Mzee Mwanakijiji na au wajiitao wabeba maboksi (wengi tu) wamo humu, wao walikimbia nini hapa?

Kwanza napenda uelewe, population ya natives wa Europe aka wazungu, inapunguwa ni kwa kuwa hawazaliani sana, unategemea watazaliana sana na wao wanaoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake, kama hiyo haitoshi, sasa wanaoana na mbwa. Unategemea nini kitawakomboa? Uislaam pekee:

Hebu jisomee hii habari kidogo, upate faida:

The Islamic future of Britain

Britain is in denial. If population trends continue, by the year 2050, Britain will be a majority Muslim nation


Soma zaidi: The Islamic future of Britain - The Commentator
 
another lost cause,product ya madrasa-hii Jf imekusanya kila aina ya uozo

Yah hii ni elimu ya madrasa ambayo haiko sawa na Div one ya kanisa iliyojaa nchi nzima,
Na usomi wenu wakuvaa tai na kufungua mabaa kila kona na usomi wenu kipi chakujivunia katika nchi hata tusimame na mataifa mengine kujivunia? Mmefisadi nchi mmefilisi mmeiba kila sehem, mmekaa kujisifu kijuha tu mmesoma, usomi wenu umetusaidia nini kama nchi?
 
Hahahahahah, nchi iliyokuwa na wakimbizi wengi duniani ni Tanzania, juzi juzi tu, Jee, wale walikimbia nini makwao na wakarundikana Tanzania? nikukumbushe?

Halafu wale Watanzania waliojiripua na au kuhamia nchi nyingi za Europe, walikimbia nini? Hebu muulize jamaa yako, MzeeMwanakijiji na au wajiitaowabeba maboksi (wengi tu) wam humu, wao walikimbia nini hapa?

Kwanza napenda uelewe, population ya natives wa Europe aka wazungu, inapunguwa ni kwa kuwa hawazaliani sana, unategemea watazaliana sana na wao wanaoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake, kama hiyo haitoshi, sasa wanaoana na mbwa. Unategemea nini kitawakomboa? Uislaam pekee:

Hebu jismee hii habari kidogo, upate faida:

The Islamic future of Britain

Britain is in denial. If population trends continue, by the year 2050, Britain will be a majority Muslim nation


Soma zaidi: The Islamic future of Britain - The Commentator
FaizaFoxy,

Nasoma kwa umakini mno hizi bayana zako huku nakunywa kahawa chungu ya Kamachumu nasukumia na kashata.
 
Hahahahahah, nchi iliyokuwa na wakimbizi wengi duniani ni Tanzania, juzi juzi tu, Jee, wale walikimbia nini makwao na wakarundikana Tanzania? nikukumbushe?

Halafu wale Watanzania waliojiripua na au kuhamia nchi nyingi za Europe, walikimbia nini? Hebu muulize jamaa yako, MzeeMwanakijiji na au wajiitaowabeba maboksi (wengi tu) wam humu, wao walikimbia nini hapa?

Kwanza napenda uelewe, population ya natives wa Europe aka wazungu, inapunguwa ni kwa kuwa hawazaliani sana, unategemea watazaliana sana na wao wanaoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake, kama hiyo haitoshi, sasa wanaoana na mbwa. Unategemea nini kitawakomboa? Uislaam pekee:

Hebu jismee hii habari kidogo, upate faida:

The Islamic future of Britain

Britain is in denial. If population trends continue, by the year 2050, Britain will be a majority Muslim nation


Soma zaidi: The Islamic future of Britain - The Commentator

Porojo za mitaani. Nchi yenye waislamu wengi Ulaya ni Ufaransa na wengi ni wakimbizi. Serikali ya huko na wananchi wake wameishawastukia ndio maana Le Pen amefanya maajabu safari hii. Hali kadhalika Uingereza.

watanzania wengi waliojilipua ni kutoka Zanzibar, waislamu wenzako. Cha kujiuliza ni kwa nini wanajilipua katika nchi za magharibi badala ya nchi za kiislamu kama Afghanistan, Pakistan, Yemen, Somalia n.k.!

Kambi kubwa ya wakimbizi duniani iko Dabaad nayo imejaa waislamu wanaowakimbia waislamu wenzao.

Amandla.......
 
Back
Top Bottom