Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga ndio waliwao, na siku zote m2 akikuzidi akili atakutawala upende usipende. Thanks b2 GOD almighty im a Christian aka ruling class.
Mods funga uzi,wameanza kutukanana
Mkuu,
Acha kuishi kwa myth na falsehope!
Unazungumzia mambo ya class,je unayafahamu kiundani!? Daah!
Mfano kiduchu...mie tangia mduchu ma-houseboys na housegirls wetu takriban woote ni magalatia/makafiri...kati ya wahehe,wachaga,wagogo na wabena!
Hawa makafiri tuliishi nao vyema...na walikua wakitufulia,kuosha vyombo,kusafisha nyumba na bustani...na wangine tukiwaweka mashamba kuhudumia mifugo na mazao yetu mpaka kesho!
Na mifano kama hii mpaka kesho imetamalaki kwenye majumba kadhaa ya Waislam hapo Tanganyika na Zanzibar yoote!
Jihadhari kiduchu unapogusia issues/topics usozijua kiundani!? Daah!
Kwa hiyo lukuvi ni mwakilishi wa wakatoliki?kama amekukwaza sio wakatoliki wote, acha kutukana dini za watu, wakatoliki tuwe na chuki na waislamu kwa lipi? Hebu nendeni shule mkasome muongeze upeo wa kufikiri sio ku-generalize!!!
Soma makala za Joseph Mihangwa uelimike kuhuzu Zanzibar. Achana na vitabu vya kigaidi kama hivyo
Umeanza kwa kutukumbusha kuwa kuna waislamu wanaobeba silaha kutetea dini yao. Kwa unafik mkubwa unajifanya kuwaachia wengine waamue kama wako sawa au la. Kwangu mimi naamini kuwa mtu yeyote anayeshindwa kukemea uovu yuko upande wake. Mtu yeyote anayepata kigugumizi kulaani matendo ya wakina Al Shaabab na Boko Haram, anawaunga mkono. Kwenye hili hatuna haja ya kuwasubiri hao maulamaa watuambie uko upande gani maana ni dhahiri utafurahi ikifika siku waislamu wenzako humu nchini wakibeba silaha kupigana na unachokiita mfumo kristu.Umelalamikia yale unayoona maovu yanayoendelea kufanywa na makafir dhidi ya waislamu. Umepandisha jazba ukifikiria kiburi cha Kafir kama Lukuvi kutamka bayana kuwa anahofia serikali ya kiislamu Zanzibar. Katika yote haya, hata mahali pamoja hukuwataja wakina Father Evaristus Mushi, Pastor Mathew Kachira, Joseph Mwang'amba,Sheikh Fadhil Soraga, Katie Gee na Kirstie Trup ambao ama wamepoteza maisha yao au kuharibiwa viungo vyao mwaka jana kisiwani Zanzibar. Bila shaka kwako wewe hawa ni "collateral damage" katika vita ya kulinda dini ya kiislamu. Kwako wewe hawa ni malipo tosha kwa wale waliopoteza maisha Mwembechai na Pemba! Bila shaka ukiwa na wenzako unawapongeza wale wote walionyanyua silaha zao na chupa zao za tindikali katika kulinda dini yao ya Uislamu.
Huyu binti amekosea alipoita hayo maandiko yako kuwa pumba. Maandiko yako ni zaidi ya pumba, ni maovu na yaliyojaa chuki na uchochezi dhidi ya wasio dini yako. Na ili tusikuchanganye na hao makafir wanaodai Tanganyika yako, unatukumbusha kuwa wazazi wako hawakutoka Tanganyika. Ndio maana hausiti kupandikiza sumu hapa maana una mahali pa kukimbilia! Uzuri tu ni kuwa watu waovu kama wewe kila siku wanashindwa. Hizi jitihada zako zitawafurahisha wafuasi wako humu ndani lakini wengi watakukwepa kama ukoma.
Amandla.......
Naongea kama muislamu........
Naomba MODS MUNINUKUU.
Sioni fahari Kuwa muislamu.
Waislamu(sio uislamu) ni moja kati ya matatizoya msingi katika taifa letu.
Mnahubiri(kinyume na uislamu) uadui na utengano zaidi ya upendo na mshikamano..
Ni wanafik (kinyume na uislamu).
UAMSHO( WAISLAMU) mnaua viongozi wa dini na kuchoma makanisa(kinyume na uislamu).
Bado MNA akili ya KITUMWA ya kudhani MUARABU ndio MTU bora(wakati ndio mtenda dhambi mkubwa)
Nawashauri tuu ndugu zangu katika imani (waislam) kama mnataka taifa LA kiislamu basi HAMIENI OMAN.... Kwani si kuna ndugu zenu wanaowafadhili.
Serikali 3 au ya NKATABA haipo hata mdhikiri mkiwa watupu
Kwa hiyo lukuvi ni mwakilishi wa wakatoliki?kama amekukwaza sio wakatoliki wote, acha kutukana dini za watu, wakatoliki tuwe na chuki na waislamu kwa lipi? Hebu nendeni shule mkasome muongeze upeo wa kufikiri sio ku-generalize!!!
Wewe vipi laumu Maalim Mohamed Said yeye kusemea mambo ya Zanzibar kwa sababu yeye penda Tanganyika. Wewe kama taka Tanganyika rudi basi pigania free sovereign Zanzibar. Impossible Tanganyika to annex Zanzibar and call it Tanganyika. You learn history from him sio that been cooked at Pengo's Altart and Chuo ya Kivukoni.
gombesugu bhai
Naongea kama muislamu........
Naomba MODS MUNINUKUU.
Sioni fahari Kuwa muislamu.
Waislamu(sio uislamu) ni moja kati ya matatizoya msingi katika taifa letu.
Mnahubiri(kinyume na uislamu) uadui na utengano zaidi ya upendo na mshikamano..
Ni wanafik (kinyume na uislamu).
UAMSHO( WAISLAMU) mnaua viongozi wa dini na kuchoma makanisa(kinyume na uislamu).
Bado MNA akili ya KITUMWA ya kudhani MUARABU ndio MTU bora(wakati ndio mtenda dhambi mkubwa)
Nawashauri tuu ndugu zangu katika imani (waislam) kama mnataka taifa LA kiislamu basi HAMIENI OMAN.... Kwani si kuna ndugu zenu wanaowafadhili.
Serikali 3 au ya NKATABA haipo hata mdhikiri mkiwa watupu
Aakhh pow! Joseph Mihangwa another leech like sucker parasite what does he know the history of Zanzibar than the Zanzibari themselves. Bring reference one Zanzibari Historian not the indoctrinated leech fake Mihangwa.
Punjab Singh,
Najua nyie wasia mlipata tabu sana wakati wa Nyerere, mlidhulumiwa sana mali zenu pole sana, nyumba zenu, hospitali, mashule, na pesa zenu.
Heko Punjab Signh
Wewe iko nakaa wapi siku hizi,kule kule newdelhi au umehamia islamabad?
Teh Teh Teh....
Since you raised a question, do not shy away from it.
Is "Militant Islam" right or not?
Wee mgalatia aka Kafiri!
Tafadhali hayo masuali yako yoote hapa si pahala pake...au ndo mmeshindwa hoja za maana,na kama dasturi yenu mnakuja kumuharibia thread yake Maalim Mohamed Said!? Daah!
Hii yaonyesha udhaifu na woga mkubwa mlionao!...yaani mlizoea kubebwabebwa takriban katika kila nyanja na yule haramia mnafiki Nyerere!...na mlisahaulishwa kuishi katika mazingira ya mijadala ya kitaaluma au kukosolewa unyama wenu,sio!?
Kwa kifupi, peleka hayo masuali yako kule jukwaa la udini wapo akina Gavana,Ally Kombo,Kahtaan na Maulamaa wangine...nina hakika watakupa tu mipini mizuri na utaridhika, au!?
Ahsanta sana!
jbu bana ucwe na hasira. yana ukwel hayo lakn
Bora uwashushue tu hao ndugu zako na wengine wenye mtazamo kama wao..
syria,libya, tunisia, misri sijui ni wapi uislam umewahi fanikiwa kuongoza kwa uhuru
wanajiitwa wakereketwa wakiislam walimuua gadafi kwa msaada wa west,
walimpindua ben wa tunisia
walimwondoa mubaraka
na sasa wanataka kumwondoa assad
NACHOJIULIZA KWA NINI BAADA YA HAYO MAPINDUZI WALISHINDWA KUONGOZA mpaka wakatamani wasingewapindua??
mwislam ameumbwa kuongoza na sii kuongozwa
Wewe umesomea porojo na kuhitimu siyo. Kwani ni makosa Zanzibar kupata nchi yao na kuamua mambo yao?