Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Huna lolote kafiri mkubwa we!
Umeishiwa na hoja sasa umebaki na viroja!
Kiumbe gani husetaka kuelewa hata kwa ushahidi mzito ulopewa na kina Ritz, Mohamed Said, Punjab Singh, FaizaFoxy na wengine wengi tu!
Umekua kama yule kafiri mwenzio MaxShimba, kila akipewa nondo zenye ushahidi husonashaka, anakimbilia kujitoa fahamu na kujifanya mweu alorukwa na akili!
Wagalatia wenzio wamekukimbia kwa kuwa umegeuka kituko kwa hoja zako za kubumba zinazowatia aibu.
Hata hivyo natoa shukurani kwa kuja na kujaribu!
Ahsanta
Na we " echo chamber" unadiriki kuongea? Mmeishiwa kweli.
Amandla.......
