Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Hivi mtu akikuita mshamba akakujibu wewe kenge kuna kulalamika hapo?

Halafu unamsingizia bure Mohamed Said hana wafuasi humu JF kila mmoja kajiunga kivyake kama ulivyojiunga wewe.

Kama haupendi lugha za kejeli na dharau na wewe usipende kuzitumia.

Mohamed Said hana wafuasi humu JF? Are you serious?

Mimi lugha za kejeli au dharau hazinitishi na wala sisiti kuzitumia pale ninapoona panastahili. Ninachokataa ni mtu kujifanya hauzipendi lakini unawaachia acolytes wazitumie bila kuwakana. Mtu asiyependa lugha hizi hatopenda kuona mwenzake anatukanwa bila sababu yeyote.


Amandla.....
 
Wanaweza? Mbona bado unakaa juu ya "fence"? Ni waislamu au la?

Amandla.....
Dini yangu inanikataza kumfuta mtu kwenye Uislam sina mamlaka hayo, kwani uliambiwa Muislam afanyi makosa?

Matendo wanayofanya Boko haram na Al-Shabaaby siyo Uislam, ndiyo maana juzi nilikupa mfano Maaskofu na Wachungaji Mashoga ndiyo Ukirsto haukujibu.

Dini yetu inatufundisha kuwa tusiwauwe watu wasiokuwa na hatia wala kuwadhuru kama hawajawakosea.

Haya ndiyo majibu yangu.
 
Swali jepesi. Boko Haram ni waislamu au la? Al Shaabad ni waislamu au la?

Amandla.....

Swali hilo ni jepesi kwa watu wenye bongo za tembo!

Kabla hujauliza hilo swali lzm ufahamu ni nani MUISLAMU!

Nikuulize wewe mgalatia,

Hitler alie wachinja wayahudi zaidi ya milioni 6 alikuwa MKRISTO (mfuasi wa yesu)?

Mfalme CONSTANTINE aliochinja wahindi wekundu zaidi ya milioni 9! Alikuwa anavaa msalaba kama dushelele alikuwa nfuasi wa yesu (mkristo)?

Lile kundi zima la Lord resistance Army la Uganda lililokuwa linabaka watoto wadogo mno kwa jina la yesu!
Na lililokuwa linateka watoto wadogo na kuwaingIza ktk jeshi na kuwanajisi watoto wa kiume hali ya kuwa wamevaa misalaba na kusali kanisani kila jumapili WALIKUWA WAKRISTO??

Hebu jibu hilo swali unalosema kuwa ni JEPESI!

Au uliropoka tu kwa sababu mdomo mali yako!
 
Sasa hapo umejibu swali kama muungwana. Lakini mbona nilipokuambia kuwa mimi sina mamlaka ya kusema kama Gene Robinson ni mkristu au la ukajifanya haukutaka kunielewa?

Kama hayo matendo wanayofanya wakina Boko Haram na Al Shaabab si ya kiislamu kwa nini mnapata kigugumizi kuyalaani kama vile mnavyoshindwa kulaani mauaji ya wasio na hatia Zanzibar?

Amandla....
 
Halafu mkuu mchundo kwa sisi wanyamwezi ni tusi baya mno!
Badilisha! Bora ujiite fundi mchuro!
 
Mohamed Said hana wafuasi humu JF? Are you serious?

Mimi lugha za kejeli au dharau hazinitishi na wala sisiti kuzitumia pale ninapoona panastahili. Ninachokataa ni mtu kujifanya hauzipendi lakini unawaachia acolytes wazitumie bila kuwakana. Mtu asiyependa lugha hizi hatopenda kuona mwenzake anatukanwa bila sababu yeyote.


Amandla.....
Hata mimi pia lugha hizo kwangu ni kawaida sana mimi kila siku natukanwa humu JF lakini sioni tatizo kwangu, ni dhambi kubwa sana kuwa mfuasi wa binadamu hiyo ni imani yangu.
 
Mohamed Said hana wafuasi humu JF? Are you serious?

Mimi lugha za kejeli au dharau hazinitishi na wala sisiti kuzitumia pale ninapoona panastahili. Ninachokataa ni mtu kujifanya hauzipendi lakini unawaachia acolytes wazitumie bila kuwakana. Mtu asiyependa lugha hizi hatopenda kuona mwenzake anatukanwa bila sababu yeyote.


Amandla.....

Amandla! Unapotaja neno "WAFUASI" lzm ufahamu maana yake!
Inavyoonekana wewe unaropoka tu!
Mara UISLAMU! mara WAFUASI!

Hebu nipe maana ya WAFUASI, Halafu uone unavyosema uongo mbele ya ummah!
Na hio acolyte pia umeropoka tu!
Maana yake imepita kushoto!

Shule muhimu amandla!
 
Sasa hapo umejibu swali kama muungwana. Lakini mbona nilipokuambia kuwa mimi sina mamlaka ya kusema kama Gene Robinson ni mkristu au la ukajifanya haukutaka kunielewa?

Kama hayo matendo wanayofanya wakina Boko Haram na Al Shaabab si ya kiislamu kwa nini mnapata kigugumizi kuyalaani kama vile mnavyoshindwa kulaani mauaji ya wasio na hatia Zanzibar?

Amandla....
Uislam una utaratibu wake wa kuyakemea maovu wewe unataka tuyalaani vipi? Wewe umeishalaani kitendo cha Maskofu na Mapadri kuwa mashoga?
 
Uislam una utaratibu wake wa kuyakemea maovu wewe unataka tuyalaani vipi? Wewe umeishalaani kitendo cha Maskofu na Mapadri kuwa mashoga?

Ndipo hapo mnapopotoka. Unajificha tena nyuma ya fig leaf linapokuja suala la wana Ummah wenzako! Mbona hausiti kukemea maovu unayodhani wanafanya watu wa dini nyingine.

Mimi nimelaani mauaji yanayofanywa na Anti Balaka. Nalaani unyama ulioonyeshwa na majeshi ya Marekani dhidi ya raia wa Iraq na Afghanistan. Nalaani kuwepo kwa jela ya Guatanamo. Nalaani ushiriki wa kanisa katika inquisition na pogroms. Nalaani vitendo vinavyofanywa na baadhi ya viongozi wa madhehebu ya kanisa dhidi ya wafuasi wao. Vitendo hivyo ni pamoja na kuwabaka vijana wanaotakiwa kuwaongoza.

Zamu yako. Unasema nini juu ya uchinjaji unaofanywa na wakina Abubakar Shekau?

Amandla.....
 
Ndipo hapo mnapopotoka. Unajificha tena nyuma ya fig leaf linapokuja suala la wana Ummah wenzako! Mbona hausiti kukemea maovu unayodhani wanafanya watu wa dini nyingine.

Mimi nimelaani mauaji yanayofanywa na Anti Balaka. Nalaani unyama ulioonyeshwa na majeshi ya Marekani dhidi ya raia wa Iraq na Afghanistan. Nalaani kuwepo kwa jela ya Guatanamo. Nalaani ushiriki wa kanisa katika inquisition na pogroms. Nalaani vitendo vinavyofanywa na baadhi ya viongozi wa madhehebu ya kanisa dhidi ya wafuasi wao. Vitendo hivyo ni pamoja na kuwabaka vijana wanaotakiwa kuwaongoza.

Zamu yako. Unasema nini juu ya uchinjaji unaofanywa na wakina Abubakar Shekau?

Amandla.....
Napotoka nini tena wakati nimeishakuambia dini yangu inanikataza kufanya unyama wowote wala kushabikia matendo ya waovu yanayofanywa na Muislam au mtu mwingine, genocides zote nazilaani.
 
Sycophancy will always get you in his good books. Way to go, Mr. Punjab Singh.

You are however wrong about me hating Mr. Mohamed Said. I don't hate him but I despise him and people like him.

Amandla....

You do hate him, I can read in your writtings the darkness in your heart. Welcome to our Sikh temple at gerezani we teach how to manage tranquil heart and politeness. I am here in JF for sometimes I have been following you both parties but what I see is the new evangelical creed from these now mushroming small churches are coming with hate and malaise and unfortunately they use threats bcz the state apparatus is on their side forgeting that even the state cannot escape God's wrath.
 
Sasa hapo umejibu swali kama muungwana. Lakini mbona nilipokuambia kuwa mimi sina mamlaka ya kusema kama Gene Robinson ni mkristu au la ukajifanya haukutaka kunielewa?

Kama hayo matendo wanayofanya wakina Boko Haram na Al Shaabab si ya kiislamu kwa nini mnapata kigugumizi kuyalaani kama vile mnavyoshindwa kulaani mauaji ya wasio na hatia Zanzibar?

Amandla....

Ironically you understand that Innocent lives have been lost in Zanzibar and yet you dont want to understand the distinguished learned Dr. Mohammed Said. Obviously you do cherry picking on some issues and set aside the important parts.
 
Sasa hapo umejibu swali kama muungwana. Lakini mbona nilipokuambia kuwa mimi sina mamlaka ya kusema kama Gene Robinson ni mkristu au la ukajifanya haukutaka kunielewa?

Kama hayo matendo wanayofanya wakina Boko Haram na Al Shaabab si ya kiislamu kwa nini mnapata kigugumizi kuyalaani kama vile mnavyoshindwa kulaani mauaji ya wasio na hatia Zanzibar?

Amandla....
We jamaa sijui ni mpumb.vu au chizi yaani sikuelewi elewi



Amandla....
 
Hivi ile hotuba ya Lukuvi Kanisani unaitaje ile? wewe ile umefurahia?
Si uwe mkweli tuu wewe ajuza.....Lukuvi ni uccm wake ndio unamtuma na pengine chama kilimtuma aka influence wakristu...wakati muislam mwingine akitumwa kuwa influece masheikh kwa satili nyingine..Nadhani hizi laana zinakuhusu na wewe...ndio utumbo huo huo unawatumikisha nyie waislam walafu wakubwa..mnajikata mikia wenyewe mkidhnai mnakata wa wengine..sasa wewe si ndio kinara wa sera na tabia za CCM?Zinapowatumbukia nyongo mnasingizia Ukristu...LUKUVI KAONGEA KIPI JK HAKUONGEA KTK HOTUBA YAKE....JK SI NDIO BABA YAO NA KUANZIA HAPO KILA MTU AKAGAWIWA MAJUKUMU YA KUIKOA ROHO YA CCM...Nilidhnai hata umebaki na chochote kinachofaa kumbe ni kiporo cha mwihso kabisa..
 
Mimi nilikuwa sijui kama makanisa yanafilika. Ila ni kweli au umechangia tu.
Nadhani kwa vile Misikiti ni masikini haifilisiki(masikini hafilisiki) ndio maana unadhani yanayoitwa makanisha hayafilisiki..subiri kodi za ardhi ,umeme,maji na service nyingine ziwe kubwa kuliko uwezo wa waumini wa Kakobe halfu pasiwe na wafdhili au miradi km hukusikia kakobe kafunga kanisa na Bakhresa kuwahi ili akaupe uslam sifa..hata km nao wanakwenda pata hasara...na hii ni kwa makanisa yanayoanzishwa na mtu binafsi km misikti ya familia...mwihsowe huishia kushindwa kabisa...
 
They should see in UK how Churches are sold to become Car Wash, Supermarkets and Mosques kahtaan, Ritz
Haha..kuuzwa kwa makanisa si issue sana..km yanaweza kuwa chochote,,na waislam wanafanya jitihada ili yake Misikiti..cant you see how strange are muslims appetite for abandone d churches..and not for their brand new mosques?Its natural in Christian theology utawala wa kanisa ukianza kumuasi Mungu huwa unakufa, Ulaya imekufa hadi kiuchumi , baada ya kumkana Mungu..na kukumbatia umasikini....ila kwa waislam kwa vile wana low self esteem..ndio maana hata taj mahal walijenga juu ya Gret Indian temple, Al aqsa wamejenga juu ya Hkalu la Solomon..Ambalo Yesu alisema litabomolewa na Jerusalem.....uislam unapenda dhalilisha wengine,unapenda wengine wanaguke, ndio maana waislam wanapenda lipa hela yoyote ili watembee na miss ....falours striper in town, mke au mtoto wa kiongozi wa dini nyingine,msanii maarufu kwa vile muhama km muhama hana mvuto...na islam is not a happy religion km hakuna enemy...km hakuna external reason....how arabs are never happy with women,fancy cars, big clubs, expensive shoes that they would never wear yet..happination hawana....?
 
Last edited by a moderator:
Na hawa walichukuwa visa ya Uingereza: Halafu SubhanaAllah, wanawake wa Kizungu weupe pee, ndiyo wanaoingia kwa makundi Uingereza, hakika Mipango ya Allah ni amazing, unajuwa kwanini wanawake wanaingia Uislaam kwa wingi Europe?
Convert: Lauren Booth the sister-in-law of Prime Minister Tony Blair​
Hicho ndicho kinachowatisha, soma post namba 1 vizuri. Naona unafanya kila hila, kuuhamishai mjadala Europe na Duniani, hebu turudi Zanzibar na Kilindi. Jee, umefurahishwa na hotuba ya William Lukuvi Kanisani?
Haha..hajui wanwake wa kizungu siku hizi wamepagawa sana na ngono kiasi kwaba wanaolew wake wa pili umasaini, na sehemu nyingine duniani kwa sababu mbalimbali za kingono n akisheria ktk nchi zao. Cha kushangaza hapa inaonekana jinsi gani wanaume wa kiislam wanavyojiingiza ktk ngono na ndoa zembe wakidhani wanaipaka mafuta dini yao kuwa inapendwa....sababu zipo wazi huyo mwanamke anajua hawezi pata mwanaume cheap na umaarufu wa kirahisi zaidi ya huu, na kujito auaminifu kunamweka vulnerarable to jinns na bad spirits in islam..ch akusikitisha ji huyu mke wa jamaa..pamoja na kujipa matumaini ya uongo alipaswa ambiwa ili approve..wakati hawezi disaapprove..anaonekana kabisa kuwa idea ya wake wengi ktk uislam si natural ...na hata wanawake wa kiislam si kwamba allah kawapa kinga ya wivu.... km ni kuringia dini basi wamasai wangeringia Mila zao na dini yao..wamasai wengi wakristu kwa njia moja au nyingine, na maasai ktk upande mwingine..wanawaoa wanwake wa kizurngu kuliko kiumbe mwingine na kuwafanya mama yoyo kwa kadiri waendavyo....sijui nao watajisifu ..km hawa gansters wa allah.
 
Mag3, Kwa kuwa umenitaja na kunihusisha na ''vijana wa mitaani,'' nawajibika kukujibu. Angalia hapa chini kama hizo ni sifa za ''mitaani:'' PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES 1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002. 2. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London) 3. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London) 4. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi) 5. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam) 6. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam) 7. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003) 8. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003) 9. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004) 10. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004) 11. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006) 12. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi (Children’s book) 13. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007 Nairobi 14. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam 15. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century (1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006), Kenyatta University Nairobi 16. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006) University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International Durban 17. Visiting Scholar University of Iowa, Iowa City and Northwestern University, Chicago USA and Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin 2011 18. Tanzania: A Nation without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September at IFRA Nairobi 19. Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam OTHER COUNTRIES VISITED Zambia, Ethiopia, Swaziland, Zimbabwe, Saudi Arabia, Egypt, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Netherlands, Switzerland, France and Iran.
Hivi uchafu wote huu na gharama zote hizi umeandika ili kuongeza kiu ya waislam kulalalmika tuu..kuplay victims....sasa km Skorea ,china wangeandika kuhusu japan ,brazil angeandika kuhuru ureno wangakekuwa wanaandika vitabu km hivi leo si wangekuwa wanashindana na waislam kutoa magaidi..leo wanashinda na US kutoa Sumsung,hyundai,yutong etc... Hembu jiondeo uchawi na mfadhaiko wa akili ujaribu andika vitu vinavyowapa waislam matumaini na mbinu za kufanikiwa kiuchumi ,kisayansi na muundo mora wa jamii usio na ugaidi.
 
You do hate him, I can read in your writtings the darkness in your heart. Welcome to our Sikh temple at gerezani we teach how to manage tranquil heart and politeness. I am here in JF for sometimes I have been following you both parties but what I see is the new evangelical creed from these now mushroming small churches are coming with hate and malaise and unfortunately they use threats bcz the state apparatus is on their side forgeting that even the state cannot escape God's wrath.
Haha..singh... acollection of islam and hindu..i cant see where you can challenge islam (your grand pa) in the light of modern age..?I could also see your dark side castng a shadow into Christianity and never in islam.....what else do you want to see....on mujaheedina/jihadists..?
 
Back
Top Bottom