Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Kimeumana
Anachokosea ni kumfuatlia na kujilinganisha na mtalaka wake. Mtihani ukija kugundua ameuza uchi had i amenunua au kujenga ghorofa uanze kuumia. Tazama mbele kupambana na yako, ukijilinganisha utapoteza muda na kuumiza moyo.“Wakati huo mwanamme ni mbegu, na mashamba ya kupanda ni mengi.... mengine hayajatumika kabisa”.