F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,345
- 1,069
Mkuu what is your point of reference.Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya
Kwani hamduni ni mzenji? Hamduni ni wasukuma wale waburushi wa ntinde njia panda ya kahama kama unapafahamu hapo ndio kwaoNami nanusa Kuna kaupepo Fulani ka Zenji nakavuta
Sio tabora ntinde wasukuma ni wale waburushiHamduni sio mzanzibar, n mtu wa Bara humu humu Tabora
Wakifundishwa basic za kufunga na kufungua silaha pamoja na kulenga shabaha wanahisi ndio mambo ya kivita.
Vp Commissioner wa TRA? anakaa wapi?Nani mwenye cheo kikubwa? Je, mtu kwa mfano akitolewa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS na kupewa U-IGP inakuwa imekaaje? Je, anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!
===