Kutoka kwa AY

Teh Teh Mzee wa Zigo ni mpiganaji sana!
 
Kwel mfukuze mbali shetan anesema huwez....namkubali sana AY
 
Hivi kunenepa ndo kipimo cha mafanikio?
 
AY ametoka mbali, aliwahi kusema aliwahi kufukuzwa nyumbani kwa wazazi wa rafiki yake baadaye akawa analala mtaani na kutumia vyoo vya mnazi mmoja kama bafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…