Mkuu Yanga hawana shida ndani ya uwanja wala pre season sio tatizo tatizo la Yanga ni uzoefu nje ya uwanja tunaona Simba ikifika mechi za kimataifa wanakuaje hapo ndo Yanga wanakwamaHauwezi kupambana kimataifa Kama haufanyi mazoezi ya kimataifa.changamoto mpya ni muhimu.wewe unacheza na mbuni unakwenda kupambana na kocha aliyebeba kombe la shirikisho afrika utamuweza?
Leo mechi ipo open? Mmeanza kumheshimu Al Hilal sasa? Sio nyie mlisema atapigwa kama ngoma?Tatizo tunamaliza maneno as if yanga amesha disqualify tayariii.
Hata huyo simba mwenyewe last year alienda Pre season Morroco na mwishowe alishindwa kwenda makundi CAFCL.
Hizo hoja za kwenda Pre season sijui wapi na kucheza timu gani sijuii..hazina nguvu kiivo[emoji16]..
Timu nyingi za ulaya huwa zinaenda bara la Amerika au Asia kuweka kambi ya pre season na huwa zinacheza timu ambazo average kwao..
Swala la yanga ni swala la kawaida unless mtu uongee kimahaba ila kimpira mechi bado ipo open sana.
Hebu nipe mfano wa hilo tatizo la nje ya uwanja na mimi nijue.Mkuu Yanga hawana shida ndani ya uwanja wala pre season sio tatizo tatizo la Yanga ni uzoefu nje ya uwanja tunaona Simba ikifika mechi za kimataifa wanakuaje hapo ndo Yanga wanakwama
Simba au El Hilal?Simba wana hasira sana na Yanga.
Nazungumzia katika angle ya kimpira sio kishabiki.Leo mechi ipo open? Mmeanza kumheshimu Al Hilal sasa? Sio nyie mlisema atapigwa kama ngoma?
Mangi haujui mpira wa Africa nje ya uwanja ?Hebu nipe mfano wa hilo tatizo la nje ya uwanja na mimi nijue.
Katika angle ya kimpira ulipaswa kutambua kuwa hata Hilal nao wana mikakati ya kufuzu na tayari wameonesha hilo kwa kupata goli ugenini.Nazungumzia katika angle ya kimpira sio kishabiki.
Shabiki yoyote hawezi akakuambia kua tunafungwa.
Bora ubaki hivyo hivyo ukitoka nnya itakuwa inamwagika ovyo hakuna marinda tenaMwiko nyuma ukitolewa tu mambo safi
hadi mechi ya simba wananunuaMaoni ya mdau wa 1.......
Maneno ni mengi sana ungeandika tu kwa ufupi kuwa UTOPOLO YANANUNUA MECHI KWA KUHONGA MAREFA, TIMU, WACHEZAJI PINZANI NA WANAOJIITA WACHAMBUZI KTK LIGI ZA NDANI TU,HUKO NJE "HAWAJIWEZI" in voice of Jemedar Said
Zipompaaaa huna maneno kabisa safari hii,[emoji23]hadi mechi ya simba wananunua
mawazo ya kipuuzi haya
Kwanini machawa hua hampendani?Badala ya kuzungukwa na wataalamu wa soka unazungukwa na machawa kina Manara
mechi gani umepigwa kwa kuonewa, mechi zote ziko live na unapigwa unaanza singizia refaWasinunue kwanini?kwani refa linapokuja suala la pesa kitu gani anaangalia?
tunaenda wapiga kwao hawa jamaaZipompaaaa huna maneno kabisa safari hii,[emoji23]