Me cjaelewa
Arushaone karibu sana dodoma, tunakula kuku chako ni chako na double h huku tukiburudishwa na waototo wa cbe na udom, posho ya laki tatu si mchezo.
we Arushaone huyo mkeo amekubal kwel kuwalea wana wapotevu usijishauwe kuwatoa kwa mama zao wakaja tendewa mchezo mchafu
Enzi hizo ukiwa bado mdogo, hata kabla sijamchumbia na kumuoa mke wangu Lady doctor, mimi Arushaone nilikuwa mume wa wadadaz wote wa JF. Ndio sababu naulizia wanangu kwa wote niliowapa mimba! Umeelewa?
hivi mie nina roho ya chuma? Naomba uwekwe kwenye #teambazazi
cc: Kaizer, Eiyer, mwekundu, Nicas Mtei mpokeeni mwanachama mpya
Hahaha hivi Lady doctor umesema unataka kuniiba?
hahahahaha nyeus big up mama
nimekubali kwa roho moja nyeusiii
Hahahhaa....haya changa hela zitoshe au utamwibia huyo.mbaba
hahahahahahahahaha ndo mana nakupenda
we ndo mwanangu wa pekee hao wa baba ako siwatambui..... Love u sana
thumb up love u more my swt mamy