KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

hahahahahahaha hilo sio la kuuliza we chepuka ukimuacha atajua jogoo hapandi mtungi

Umenipaje ujasiri..

Nitaleta mrejesho.

Ila ingekuwa vipi kama ungekuwa wewe ndo mke wa mtu halafu mtu anataka kuchepuka na wewe??

Usisahau kuja kunitembelea hospitali maana nahisi kukaribisha majeraha ya mapanga...
 
Umenipaje ujasiri..

Nitaleta mrejesho.

Ila ingekuwa vipi kama ungekuwa wewe ndo mke wa mtu halafu mtu anataka kuchepuka na wewe??

Usisahau kuja kunitembelea hospitali maana nahisi kukaribisha majeraha ya mapanga...

hahahahah mimi Excel ananitosheleza sifikirii kuchepuka ukikatwa mapanga ajari kazini baba na mpaka ukatwe sime yako itakuwa wapi ?? uiweke karibu karibu mwenyewe akitokea unajihami
 
Last edited by a moderator:
hahahahah mimi Excel ananitosheleza sifikirii kuchepuka ukikatwa mapanga ajari kazini baba na mpaka ukatwe sime yako itakuwa wapi ?? uiweke karibu karibu mwenyewe akitokea unajihami

Ujasiri nautoa wapi wakati nitakuwa nimeshikwa ugoni,,, unacheza na fumanizi wewe.
 
hahahahahahaha hilo sio la kuuliza we chepuka ukimuacha atajua jogoo hapandi mtungi

Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!
 
Last edited by a moderator:
Arushaone karibu sana dodoma, tunakula kuku chako ni chako na double h huku tukiburudishwa na waototo wa cbe na udom, posho ya laki tatu si mchezo.

Kudaaaadadeki!!!!!!!!!
 
Mbona siku zimeshakuwa nyingi sasa?
Ni miaka 2 sasa

We kama unataka kunipa ile kitu nipe tu bana .....!!



I don't wanna waiting in vain - Bob Marley

1, 2, 3:

I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love.
From the very first time I rest my eyes on you, girl,
My heart says follow t'rough.
But I know, now, that I'm way down on your line,
But the waitin' feel is fine:
So don't treat me like a puppet on a string,
'Cause I know I have to do my thing.
Don't talk to me as if you think I'm dumb;
I wanna know when you're gonna come - soon.
I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love,
'Cause if summer is here,
I'm still waiting there;
Winter is here,
And I'm still waiting there.
---
/Guitar solo/
---
Like I said:
It's been three years since I'm knockin' on your door,
And I still can knock some more:
Ooh girl, ooh girl, is it feasible?
I wanna know now, for I to knock some more.
Ya see, in life I know there's lots of grief,
But your love is my relief:
Tears in my eyes burn - tears in my eyes burn
While I'm waiting - while I'm waiting for my turn,
See!

I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love;
I don't wanna wait in vain for your love, oh!
I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna -
I don't wanna wait in vain.
I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna -
I don't wanna wait in vain.
No, I don't wanna (I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna -
I don't wanna - I don't wanna wait in vain) -
No I - no I (I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna - I don't
wanna - I don't wanna wait in vain) -
No, no-no, I, no, I (I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna -
I don't wanna - I don't wanna wait in vain) -
It's your love that I'm waiting on (I don't wanna - I don't wanna -
I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna wait in vain);
It's me love that you're running from.
It's Jah love that I'm waiting on (I don't wanna - I don't wanna -
I don't wanna - I don't wanna - I don't wanna wait in vain);
It's me love that you're running from.
 
Umenipaje ujasiri..

Nitaleta mrejesho.

Ila ingekuwa vipi kama ungekuwa wewe ndo mke wa mtu halafu mtu anataka kuchepuka na wewe??

Usisahau kuja kunitembelea hospitali maana nahisi kukaribisha majeraha ya mapanga...

Ukijaribu tu umekwisha kamanda wa pori.
 
Back
Top Bottom