Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmmmmhhhh Arushaone i am watching you! Kuwa kwangu mjumbe wa kamati ya katiba hainizuii kuchunga mali zangu.
The secretary embu panda shabiby sasa hivi uje dodoma.
Hahahaaaaaaa!paroko umenivunja mbavu zangu duuuuh!
Hahahaaaaaaa!paroko umenivunja mbavu zangu duuuuh!
ohooooo sweetheart jamani usisikilize ya wapambe my king u know i cant live without you my world
Hongera kwa kubadilisha avatar!!!!!!!!
Damu ya uswati haiwezi kukutoka utaendelea kuwa mswati tu mimi namhurumia sana Lady doctor
Y not?ila shem na weweee?unataka kumbebesha pacha angu mzigo asiouweza,hao wanao waache kwa mama zao!Una uhakika na unacho kinena shem? #Just curious.
Amependeza eeh? Tangaza mahari fasta mkuu wangu. Niwe kwako baba mkwe, Lady doctor awe mama mkweo.
Amependeza eeh? Tangaza mahari fasta mkuu wangu. Niwe kwako baba mkwe, Lady doctor awe mama mkweo.
wewe baba jamani mi nina king wangu dadiii
Nimekukumbuka sana...........
Kweli mkuu we sio wa bunge..mimi si katibu wa bunge..
honey miss neddy keshalipiwa
Amependeza eeh? Tangaza mahari fasta mkuu wangu. Niwe kwako baba mkwe, Lady doctor awe mama mkweo.
aisee...
honey miss neddy keshalipiwa