KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

lenu moja ndio umletee umati wa watoto? akipika nyama kilo moja mchuzi aweke lita ishirini ili utoshe......bora hata Kaizer mwenye wake wengi coz kila mtu analea alicho create

Nimekukumbuka sana...........
 
Last edited by a moderator:
Unasemaa..? :mimba: inakusumbua sana hii kitu mke wangu.. Ngoja nikubebee kiroba cha udongo leo..

mhmhhhhh..............bado nna mafindofindo na mafua!
hapa chicken salad ya subway na pilipili kibao ndo inapanda!!!
 
Arushaone i am watching you! Kuwa kwangu mjumbe wa kamati ya katiba hainizuii kuchunga mali zangu.
The secretary embu panda shabiby sasa uje dodoma.

Of course I know you are watching but why Shabiby? Y not PIPA?
 
Wewe c mwali we mtt,huku watafuta nn,ina maana umemtoroka kungwi?ndoa itakushinda nakwambia we mtt wa pacha angu,rudi ndani fasta kabla sijatuma dereva aje akuchukue na trekta coz magari mengine yapo gereji!

hahahahahahah niache nipunge kaupepo bwana mamiii
 
Back
Top Bottom