Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Etiiiiiiiii?babe soso asijue?ngoja ninyonyeshe mie nisijesutwa!
ndio mimi hapa...
Sweetie .............!!!!!
Excel ni nani?
Nilikuwa KING MSWATI IV enzi zangu, naomba sana kama kuna aliye na mwanangu anipe sasa. Nimejadiliana na mke wangu Lady doctor tumeona tuko tayari kuanzisha ALCC. (Arushaone-Lady doctor Children Center).
Naanza na Mamndenyi Madame B Blaki Womani
Mkuu kwema?
Sikujua kama ni wewe mheshimiwa katibu!!
Hahahaaaa!haya bana nimekadouble kisses kabisa lol!na kweli...maana kabebi katakuwa hakaongezeki coz mama mpashpash kwelikweli ...............
mpe big kiss from me
Unasemaa..? :mimba: inakusumbua sana hii kitu mke wangu.. Ngoja nikubebee kiroba cha udongo leo..
Kamuota mchumba ako,afu huyo mchumbaako katoroka unyago yupo jf mmu bar!nimemuona!umeniita hapa, nimeitika, niambie sasa shida ni nini!
mimi ni katibu wa nini?
Wewe c mwali we mtt,huku watafuta nn,ina maana umemtoroka kungwi?ndoa itakushinda nakwambia we mtt wa pacha angu,rudi ndani fasta kabla sijatuma dereva aje akuchukue na trekta coz magari mengine yapo gereji!
paroko..................unanitega?!?!?!
ntakufungia novena.........ohoooooooooo
Mamndenyi mke wangu Lady doctor ana mapacha wachanga, ni kwamba tumeamua damu yangu isipotee bure!
Nipe wanangu!!
toooobaaaa roho yangu!kuuumbeeee pacha?hao wako wakisha kuja naomba Vin Diesel Bishanga na Chimbuvu waje wabebe watoto wao honey sasahivi ni zamu ya kulea watoto wako
umeniita hapa, nimeitika, niambie sasa shida ni nini!
mimi ni katibu wa nini?