Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
subiri nizae tena huyo keshawahiwa
Kisa cha kusubiri ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri nizae tena huyo keshawahiwa
nataka ucheze
Dah!
Yaani nilikuwa nimekumiss sana Doctor
Sijui kwanini.....
Njoo tucheze wote!
Kisa cha kusubiri ni nini?
Dady etu nawdays anahesabu wajukuu tu,mamy kapumzika kufyetua mamis!mswati ndio kwanza anawatafuta aliowakataaga hadharani,atajirjuuu!pacha angu kazi anayo!
Mnataka mle sadaka?
hahaha.... Ba paroko taratibu...... Utauweza mziki huu?
enhe....! Nakusikiliza......
kakufanyaje tena bebii, hajui kuwa we ndo mwanangu wa pekee wengine wote ni geresha tu?
Sasa yule baba karudi huu mtaa..
Tutaona siku nyingine naogopa ugoni..Sorry
sadaka na yale mazagazaga sijui mnaita vipaji?
ili nikupe bure
yeah baby tumejipanga haswaaa!
anampa presha my king Excel mpaka leo nimefungiwa mlango wa chumbani sujui nitalala wapi leo
Nilikwambia urudi home hujasikia,haya sasa,my king, my king,mtt husikii ww khaaaa
Kulea watoto wa nje utaweza shemeji..? Wana gubu hao watoto pamoja na mama zao..
baba yupi? Au yule mwenye upara na suti?
kaah! Kumbeee! Ngoja niongee nae aache kabisa kukutia presha mwanangu.... Halafu na huyu Excel anakufungia mlango ili iweje? Hajui kuna msururu wa wanaume wanajileta kutoa mahari hapa? Ye mwache achezee shilingi kwenye tundu la choo