Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Remmy tulishakutana kwenye michepuko yangu enzi zangu? Swali hili pia nalielekeza kwa King'asti Kongosho Preta kerucee KOKUTONA Arabela charminglady Passion Lady MwanajamiiOne Zinduna marejesho sweetlady Elizabeth Dominic. Nitarudi[/QUOTE
Hatukubahatika kupata mtoto na wewe
Damu ya uswati haiwezi kukutoka utaendelea kuwa mswati tu mimi namhurumia sana Lady doctor
Hukupenda ua la boga unataka kulipenda boga?
simjui....
Hujambo mwanangu
Hahahahaha..........my ex husband.
Mjini tulikuleta mie na Blaki Womani......
Lady doctor ukamuona mtamu.
Mtoto wako nilimwachia mume mwenzio Ben Saanane.
Niko na maisha mapya na mpenzi Remote
hahaaa mkuu yuko busy na kuyanyoosha magamba.. asubuhi nimeongea kaniambia anaelekea kalenga kuwasulubu ccm...
nami kaniachia mikoba kule siasani kupambana na bk7 fc.
pole kwa Lady doctor mapishi ya lost atayasikia kwenye bomba.....
Wewe c mwali we mtt,huku watafuta nn,ina maana umemtoroka kungwi?ndoa itakushinda nakwambia we mtt wa pacha angu,rudi ndani fasta kabla sijatuma dereva aje akuchukue na trekta coz magari mengine yapo gereji!
Mama wee excel namuhurumia!
mmmmmmhhhh Arushaone i am watching you! Kuwa kwangu mjumbe wa kamati ya katiba hainizuii kuchunga mali zangu.
The secretary embu panda shabiby sasa hivi uje dodoma.
Kusema ukweli mi nilipojua nina naniliii nilienda kwa docta akananiliuuu,kwa hyo cnaga dumuyo akuuuu!