KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

wakati wewe unaanza kuchepuka mie nshaoza na kukatika mbawa kwa paw. hukuwahi bahatika baba:A S 27:

BTW wewe ni dada yangu wa kambo nimekumbuka, afu nimekumisi kichizi...Zangu za upendo kwa Paw.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Last edited by a moderator:
hahaaa mkuu yuko busy na kuyanyoosha magamba.. asubuhi nimeongea kaniambia anaelekea kalenga kuwasulubu ccm...
nami kaniachia mikoba kule siasani kupambana na bk7 fc.

.... Hata mimi Buku7 Fc ninapambana nao daily.

CC: Ben Saanane.
 
Last edited by a moderator:
Wewe c mwali we mtt,huku watafuta nn,ina maana umemtoroka kungwi?ndoa itakushinda nakwambia we mtt wa pacha angu,rudi ndani fasta kabla sijatuma dereva aje akuchukue na trekta coz magari mengine yapo gereji!

Aww! Trekta????
 
Wewe c mwali we mtt,huku watafuta nn,ina maana umemtoroka kungwi?ndoa itakushinda nakwambia we mtt wa pacha angu,rudi ndani fasta kabla sijatuma dereva aje akuchukue na trekta coz magari mengine yapo gereji!

Aww! Trekta???? Shem sikuwezi.
 
Back
Top Bottom