Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au Pyramid za Misri.

Lakini watawala wengi huacha legacy na kukubukwa kwa MAWAZO mazuri yanayoishi, yenye manufaa ENDELEVU na UJENZI wa MIFUMO mizuri yenye tija kwa kizazi kimoja hadi kingine katika kupambana na UMASIKINI, UJINGA, MARADHI na DHULUMA.

Thomas Jefferson wa Marekani hakumbukwi kwa visima vya maji alivyochimba, bali anakumbukwa kwa Tamko la Uhuru wa Marekani (Declaration of Independence).

Abraham Lincoln hakumbukwi kwa barabara alizojenga huko New York na Michigan, bali anakumbukwa kwa tamko la kishujaa la kuachia huru watumwa (Emancipation declaration) na Falsafa ya demokrasia (Philosophy of democracy).

Yeye ndiye aliyesema "democracy is a government of the people, by the people, for the people" definition ambayo vizazi na vizazi vimeikariri duniani pote. Mtoto wa form one kule Tunguu (Zbar) au Lutindi (Korogwe) ukimtajia Abraham Lincoln hatakumbuka barabara alizojenga huko Maryland, bali atakumbuka "government of the people, by the people, for the people." Hii ndiyo legacy.

Hata Mwalimu Nyerere hatumkumbuki kwa kujenga viwanda vya nguo vya MWATEX na URAFIKI, au kiwanda cha nyama cha TANGANYIKA PACKERS, bali tunamkumbuka kwa MAWAZO yanayoishi ya kudai UHURU, HAKI, UMOJA na HESHIMA ya MWAFRIKA.

Kizazi kijacho hakitakumbuka Stendi za mabasi, wala madaraja ya juu yaliyojengwa miaka 20 au 50 iliyopita, maana hata chenyewe kitajenga yao. Tena ikibidi hizi flyover za sasa watazivunjilia mbali ili wajenge nyingine zenye ubora zaidi, nyingi zaidi na za kisasa zaidi.

Kizazi kijacho kitaona legacy ya watawala wa sasa kikikuta nchi yenye HAKI na UHURU kama vichocheo vya MAENDELEO YA WATU. Kwa hiyo KATIBA bora ni msingi wa LEGACY imara, Sheria nzuri ni kuta za LEGACY imara, na MIPANGO thabiti ni Paa la Legacy Imara. Legacy sio madaraja au stand za mabasi.

Muhimu zaidi Legacy hailindwi, inajilinda. Legacy haitetewi, inajitetea yenyewe. Asomaye na afahamu.!
1618837154539.jpeg
 
"Intellectuals and Race"
By Thomas Sowell.

Kwa waswahili wanasema kila mwamba ngoma huvutia kwake. Wasomi wa soft sciences wanasifika kwa kutengeneza urasimu ili kulinda umuhimu wao... Na wasomi wa sayansi wanasifika kwa kutatua changamoto cha kiujenzi hasa miundombinu.

Mawazo yoyote ili yaguse watu lazima yawe na matokeo katika vitu. Tangazo la Uhuru wa Marekani lilienda sambamba na watu wote kutumia "vitu" vilivyokuwepo (usafiri, afya, ajira) kwa usawa.

Itafaidika nini kama ukiwa huru, na unasikia mawazo mazuri ila hauna barabara, shule, huduma za afya, mashamba, masoko nk!? Mawazo ya mtanzania mwenzangu akiwa China ni mawazo fikirishi sana...
 
Ndio maana hata maraisi wa awamu 4 kabla ya awamu ya tano walitekeleza kuyafanya hayo

Walijenga barabara,shule,huduma za afya na mengine mengi

Lakini imekua big deal kwa awamu ya 5 WHY??????????????????????????????????????

Mnataka kutuamini nini
Mnataka kusimika nini
Mnataka kufuta nini
 
JPM has gone and will never come back. He was simply a hero, purely an administrator and manager who was result based. From the day he knocked in the political platform in Tanzania, he had no "sweet" words to offer as some of his fellow ministers, but tough to the level he was likened to a bulldozer during BWM and JMK who were predecessors he served under their leadership 1995-2015.

In 2015 general election prep., CCM wanted a "saviour" who can redeem the party from drowning; as we are remember 2010 general election was very challenging to HE President Jakaya Kikwete when he was in pursuit to elected for the second term; it in our memory that lots of constituencies were gone to opposition and voter turnout declined based on several factors which can be debated other time.

It was said JPM won't have autonomous to take the lead at the President and CinC, It was claimed that CCM will control him; and it was a hot discussion during the campaign by people being skeptical on him to the extent the narrative came as "tatizo sio Magufuli, tatizo ni mfumo". Just after he was sworn in office JPM became a game changer and once again it was said, both the gov and the party is dancing the tune of his "music". Narratives kept changing on and on.

While he has slept, we have a lot to remember which brought merits to the common Tanzanians and even some Africans in their countries.
Nchi hii ni tajiri
Sisi tunaweza
For readers and believers on the power of positive thinking and power of positive confession, they had a ground to build their faith through strong affirmation from JPM. The bible has clearly written, and the "WORD become FLESH", some of other scriptures says "we reap what we sow".

JPM audacity to recall for mining contacts signed years back by "capturing with their pants down"; the giants mining had to seat at the table instead of taking us to the international commercial court as some had warned him. JPM made a step by getting his men into the board of Barrick Gold, getting some of the men into Executive management and assigned the giant company to open bank account in Tanzania, to ensure our motherland get forex based on sales obtained from minerals.

Restoring the giraffe back to the sky and re-branding AIR Tanzania; oh men, this was like unbelievable story which became real. A public corporate which had been leasing "ndege choka mbaya" was flying new planes. Some flight was flown in SADC region, some to Indian markets and there have been effort for Gatwick airport in the UK and Guagzhou in PRC.

We may differ on how we perceive him and his leadership style; many of us would agree based on experience in leadership and management, it takes a generation to obtain a golden leader who is a game changer. In the US they had FDR who led them during the time of great depression, they salute him based on merits he left for Americans. Tom Sankara served Bukina Faso just for 5 years, the reforms he made are still in Africans memories.

We and the generations to come, will always cerebrate the good deeds made by HE John Pombe Magufuli in his short tenure as the CinC of the United Republic of Tanzania. JPM, you were simply the best in this age of African leaders. The standards you set, will always be embraced.

Tunaonana baadae.

 
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au Pyramid za Misri.

Lakini watawala wengi huacha legacy na kukubukwa kwa MAWAZO mazuri yanayoishi, yenye manufaa ENDELEVU na UJENZI wa MIFUMO mizuri yenye tija kwa kizazi kimoja hadi kingine katika kupambana na UMASIKINI, UJINGA, MARADHI na DHULUMA.

Thomas Jefferson wa Marekani hakumbukwi kwa visima vya maji alivyochimba, bali anakumbukwa kwa Tamko la Uhuru wa Marekani (Declaration of Independence).

Abraham Lincoln hakumbukwi kwa barabara alizojenga huko New York na Michigan, bali anakumbukwa kwa tamko la kishujaa la kuachia huru watumwa (Emancipation declaration) na Falsafa ya demokrasia (Philosophy of democracy).

Yeye ndiye aliyesema "democracy is a government of the people, by the people, for the people" definition ambayo vizazi na vizazi vimeikariri duniani pote. Mtoto wa form one kule Tunguu (Zbar) au Lutindi (Korogwe) ukimtajia Abraham Lincoln hatakumbuka barabara alizojenga huko Maryland, bali atakumbuka "government of the people, by the people, for the people." Hii ndiyo legacy.

Hata Mwalimu Nyerere hatumkumbuki kwa kujenga viwanda vya nguo vya MWATEX na URAFIKI, au kiwanda cha nyama cha TANGANYIKA PACKERS, bali tunamkumbuka kwa MAWAZO yanayoishi ya kudai UHURU, HAKI, UMOJA na HESHIMA ya MWAFRIKA.

Kizazi kijacho hakitakumbuka Stendi za mabasi, wala madaraja ya juu yaliyojengwa miaka 20 au 50 iliyopita, maana hata chenyewe kitajenga yao. Tena ikibidi hizi flyover za sasa watazivunjilia mbali ili wajenge nyingine zenye ubora zaidi, nyingi zaidi na za kisasa zaidi.

Kizazi kijacho kitaona legacy ya watawala wa sasa kikikuta nchi yenye HAKI na UHURU kama vichocheo vya MAENDELEO YA WATU. Kwa hiyo KATIBA bora ni msingi wa LEGACY imara, Sheria nzuri ni kuta za LEGACY imara, na MIPANGO thabiti ni Paa la Legacy Imara. Legacy sio madaraja au stand za mabasi.

Muhimu zaidi Legacy hailindwi, inajilinda. Legacy haitetewi, inajitetea yenyewe. Asomaye na afahamu.! View attachment 1756583
Mkuu umemaliza yote.Hofu yangu ni moja tu je watanzania tunaelewa?
 
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au Pyramid za Misri.

Lakini watawala wengi huacha legacy na kukubukwa kwa MAWAZO mazuri yanayoishi, yenye manufaa ENDELEVU na UJENZI wa MIFUMO mizuri yenye tija kwa kizazi kimoja hadi kingine katika kupambana na UMASIKINI, UJINGA, MARADHI na DHULUMA.

Thomas Jefferson wa Marekani hakumbukwi kwa visima vya maji alivyochimba, bali anakumbukwa kwa Tamko la Uhuru wa Marekani (Declaration of Independence).

Abraham Lincoln hakumbukwi kwa barabara alizojenga huko New York na Michigan, bali anakumbukwa kwa tamko la kishujaa la kuachia huru watumwa (Emancipation declaration) na Falsafa ya demokrasia (Philosophy of democracy).

Yeye ndiye aliyesema "democracy is a government of the people, by the people, for the people" definition ambayo vizazi na vizazi vimeikariri duniani pote. Mtoto wa form one kule Tunguu (Zbar) au Lutindi (Korogwe) ukimtajia Abraham Lincoln hatakumbuka barabara alizojenga huko Maryland, bali atakumbuka "government of the people, by the people, for the people." Hii ndiyo legacy.

Hata Mwalimu Nyerere hatumkumbuki kwa kujenga viwanda vya nguo vya MWATEX na URAFIKI, au kiwanda cha nyama cha TANGANYIKA PACKERS, bali tunamkumbuka kwa MAWAZO yanayoishi ya kudai UHURU, HAKI, UMOJA na HESHIMA ya MWAFRIKA.

Kizazi kijacho hakitakumbuka Stendi za mabasi, wala madaraja ya juu yaliyojengwa miaka 20 au 50 iliyopita, maana hata chenyewe kitajenga yao. Tena ikibidi hizi flyover za sasa watazivunjilia mbali ili wajenge nyingine zenye ubora zaidi, nyingi zaidi na za kisasa zaidi.

Kizazi kijacho kitaona legacy ya watawala wa sasa kikikuta nchi yenye HAKI na UHURU kama vichocheo vya MAENDELEO YA WATU. Kwa hiyo KATIBA bora ni msingi wa LEGACY imara, Sheria nzuri ni kuta za LEGACY imara, na MIPANGO thabiti ni Paa la Legacy Imara. Legacy sio madaraja au stand za mabasi.

Muhimu zaidi Legacy hailindwi, inajilinda. Legacy haitetewi, inajitetea yenyewe. Asomaye na afahamu.! View attachment 1756583
Well highlited. Bravo !!!!
 
Sasa kwa maelezo hayo ya huyo Msomi wetu, watu kama akina magufuli watakumbukwa kwa lipi! Kwa kutuletea udikteta na mataga, au!!

Mtangulizi wake JK nae alianza vizuri kwenye mchakato wa Katiba Mpya, lakini mwisho wa siku akakengeuka!
 
Tunaonana baadae.
What a bull***t!

Nimeona hii moja tu hapo chini, labda ndiyo ya kushikilia: lakini lugha inasumbua sana.

Halafu unatumia mfano wa FDR?
Kwa mlinganisho upi?
FDR hakuwanyima haki raia zakena wala hakuwapora uhuru wao.

FDR afanye uchaguzi ule wa serikali za mitaa? Uchafuzi ule wa kura za wananchi kwenye "Uchafuzi mkuu"?

FDR atumie mabunduki na mapolisi kunyamazisha mawazo ya wengine?

audacity to recall for mining contacts signed years back by "capturing with their pants down"; the giants mining had to seat at the table instead of taking us to the international commercial court as some had warned him. JPM made a step by getting his men into the board of Barrick Gold, getting some of the men into Executive management and assigned the giant company to open bank account in Tanzania, to ensure our motherland get forex based on sales obtained from minerals.
 
Back
Top Bottom