Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

Prof.Lumumba Huwa anasema hivi "If you will find someone spending one hour explaining what he has done, then he has done nothing. When you have done something you need to shut up and things that you have done they will speak for themselves"
 

Attachments

  • prof Lumumba.mp4
    730.1 KB
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au Pyramid za Misri.

Lakini watawala wengi huacha legacy na kukubukwa kwa MAWAZO mazuri yanayoishi, yenye manufaa ENDELEVU na UJENZI wa MIFUMO mizuri yenye tija kwa kizazi kimoja hadi kingine katika kupambana na UMASIKINI, UJINGA, MARADHI na DHULUMA.

Thomas Jefferson wa Marekani hakumbukwi kwa visima vya maji alivyochimba, bali anakumbukwa kwa Tamko la Uhuru wa Marekani (Declaration of Independence).

Abraham Lincoln hakumbukwi kwa barabara alizojenga huko New York na Michigan, bali anakumbukwa kwa tamko la kishujaa la kuachia huru watumwa (Emancipation declaration) na Falsafa ya demokrasia (Philosophy of democracy).

Yeye ndiye aliyesema "democracy is a government of the people, by the people, for the people" definition ambayo vizazi na vizazi vimeikariri duniani pote. Mtoto wa form one kule Tunguu (Zbar) au Lutindi (Korogwe) ukimtajia Abraham Lincoln hatakumbuka barabara alizojenga huko Maryland, bali atakumbuka "government of the people, by the people, for the people." Hii ndiyo legacy.

Hata Mwalimu Nyerere hatumkumbuki kwa kujenga viwanda vya nguo vya MWATEX na URAFIKI, au kiwanda cha nyama cha TANGANYIKA PACKERS, bali tunamkumbuka kwa MAWAZO yanayoishi ya kudai UHURU, HAKI, UMOJA na HESHIMA ya MWAFRIKA.

Kizazi kijacho hakitakumbuka Stendi za mabasi, wala madaraja ya juu yaliyojengwa miaka 20 au 50 iliyopita, maana hata chenyewe kitajenga yao. Tena ikibidi hizi flyover za sasa watazivunjilia mbali ili wajenge nyingine zenye ubora zaidi, nyingi zaidi na za kisasa zaidi.

Kizazi kijacho kitaona legacy ya watawala wa sasa kikikuta nchi yenye HAKI na UHURU kama vichocheo vya MAENDELEO YA WATU. Kwa hiyo KATIBA bora ni msingi wa LEGACY imara, Sheria nzuri ni kuta za LEGACY imara, na MIPANGO thabiti ni Paa la Legacy Imara. Legacy sio madaraja au stand za mabasi.

Muhimu zaidi Legacy hailindwi, inajilinda. Legacy haitetewi, inajitetea yenyewe. Asomaye na afahamu.! View attachment 1756583
Huyu mchaga mpuuzi tu
 
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au Pyramid za Misri.

Lakini watawala wengi huacha legacy na kukubukwa kwa MAWAZO mazuri yanayoishi, yenye manufaa ENDELEVU na UJENZI wa MIFUMO mizuri yenye tija kwa kizazi kimoja hadi kingine katika kupambana na UMASIKINI, UJINGA, MARADHI na DHULUMA.

Thomas Jefferson wa Marekani hakumbukwi kwa visima vya maji alivyochimba, bali anakumbukwa kwa Tamko la Uhuru wa Marekani (Declaration of Independence).

Abraham Lincoln hakumbukwi kwa barabara alizojenga huko New York na Michigan, bali anakumbukwa kwa tamko la kishujaa la kuachia huru watumwa (Emancipation declaration) na Falsafa ya demokrasia (Philosophy of democracy).

Yeye ndiye aliyesema "democracy is a government of the people, by the people, for the people" definition ambayo vizazi na vizazi vimeikariri duniani pote. Mtoto wa form one kule Tunguu (Zbar) au Lutindi (Korogwe) ukimtajia Abraham Lincoln hatakumbuka barabara alizojenga huko Maryland, bali atakumbuka "government of the people, by the people, for the people." Hii ndiyo legacy.

Hata Mwalimu Nyerere hatumkumbuki kwa kujenga viwanda vya nguo vya MWATEX na URAFIKI, au kiwanda cha nyama cha TANGANYIKA PACKERS, bali tunamkumbuka kwa MAWAZO yanayoishi ya kudai UHURU, HAKI, UMOJA na HESHIMA ya MWAFRIKA.

Kizazi kijacho hakitakumbuka Stendi za mabasi, wala madaraja ya juu yaliyojengwa miaka 20 au 50 iliyopita, maana hata chenyewe kitajenga yao. Tena ikibidi hizi flyover za sasa watazivunjilia mbali ili wajenge nyingine zenye ubora zaidi, nyingi zaidi na za kisasa zaidi.

Kizazi kijacho kitaona legacy ya watawala wa sasa kikikuta nchi yenye HAKI na UHURU kama vichocheo vya MAENDELEO YA WATU. Kwa hiyo KATIBA bora ni msingi wa LEGACY imara, Sheria nzuri ni kuta za LEGACY imara, na MIPANGO thabiti ni Paa la Legacy Imara. Legacy sio madaraja au stand za mabasi.

Muhimu zaidi Legacy hailindwi, inajilinda. Legacy haitetewi, inajitetea yenyewe. Asomaye na afahamu.! View attachment 1756583
Asante mtoa mada kwa maelezo yaliyonyooka. Sisi Watanzania hatukuwa na Rais bali kutokana na ajali ya kisiasa ya mwaka 2015 tulipata Shetani aliyejifanya anajuwa kila kitu.

Bado kuna Watanzania wapumbavu wengi tu ambao wanamsifia na ndiyo hao wanalazimisha hiyo legacy. Legacy haijadiliwi inakuja yenyewe.

Kwa kweli sioni cha kukaa na kumsifia Magufuli ambaye ameturudisha nyuma miaka 20 kiuchumi.

Lakini tumshukuru Mungu analipenda Taifa letu, alipomuona anapata kiburi na kutaka kubadili ukomo wa utawala akamtupilia Jehanam.
 
Sasa kwa maelezo hayo ya huyo Msomi wetu, watu kama akina magufuli watakumbukwa kwa lipi! Kwa kutuletea udikteta na mataga, au!!

Mtangulizi wake JK nae alianza vizuri kwenye mchakato wa Katiba Mpya, lakini mwisho wa siku akakengeuka!
JK alijinyima fursa nzuri na kubwa ya kutuachia Katiba Mpya kwa kukubali kughilibiwa na Mzee Mkapa,yaani mabilioni yooote yale yaliyotumika kwenye awamu mbili za Tume ya Jaji Warioba na kugharamia Bunge Maalum la Katiba tukaambulia patupu. Lodilofa naye apokee vitasa tu huko aliko.
 
Anaandika mtanzania mwenzetu Twahir Abasi (kutoka Chuo kikuu cha Sayansi na teknolojia cha Huazhong, huko Wuhan, China).
______
Legacy ya watawala haipo sana kwenye ujenzi wa vitu labda vitu hivyo viwe ni VIKUBWA SANA, vya muhimu sana au vya kipekee sana. Kwa mfano Great wall ya China au Pyramid za Misri.

Lakini watawala wengi huacha legacy na kukubukwa kwa MAWAZO mazuri yanayoishi, yenye manufaa ENDELEVU na UJENZI wa MIFUMO mizuri yenye tija kwa kizazi kimoja hadi kingine katika kupambana na UMASIKINI, UJINGA, MARADHI na DHULUMA.

Thomas Jefferson wa Marekani hakumbukwi kwa visima vya maji alivyochimba, bali anakumbukwa kwa Tamko la Uhuru wa Marekani (Declaration of Independence).

Abraham Lincoln hakumbukwi kwa barabara alizojenga huko New York na Michigan, bali anakumbukwa kwa tamko la kishujaa la kuachia huru watumwa (Emancipation declaration) na Falsafa ya demokrasia (Philosophy of democracy).

Yeye ndiye aliyesema "democracy is a government of the people, by the people, for the people" definition ambayo vizazi na vizazi vimeikariri duniani pote. Mtoto wa form one kule Tunguu (Zbar) au Lutindi (Korogwe) ukimtajia Abraham Lincoln hatakumbuka barabara alizojenga huko Maryland, bali atakumbuka "government of the people, by the people, for the people." Hii ndiyo legacy.

Hata Mwalimu Nyerere hatumkumbuki kwa kujenga viwanda vya nguo vya MWATEX na URAFIKI, au kiwanda cha nyama cha TANGANYIKA PACKERS, bali tunamkumbuka kwa MAWAZO yanayoishi ya kudai UHURU, HAKI, UMOJA na HESHIMA ya MWAFRIKA.

Kizazi kijacho hakitakumbuka Stendi za mabasi, wala madaraja ya juu yaliyojengwa miaka 20 au 50 iliyopita, maana hata chenyewe kitajenga yao. Tena ikibidi hizi flyover za sasa watazivunjilia mbali ili wajenge nyingine zenye ubora zaidi, nyingi zaidi na za kisasa zaidi.

Kizazi kijacho kitaona legacy ya watawala wa sasa kikikuta nchi yenye HAKI na UHURU kama vichocheo vya MAENDELEO YA WATU. Kwa hiyo KATIBA bora ni msingi wa LEGACY imara, Sheria nzuri ni kuta za LEGACY imara, na MIPANGO thabiti ni Paa la Legacy Imara. Legacy sio madaraja au stand za mabasi.

Muhimu zaidi Legacy hailindwi, inajilinda. Legacy haitetewi, inajitetea yenyewe. Asomaye na afahamu.! View attachment 1756583
Aliyewabatiza Chadema nyumbu aliona mbali ni mijitu mijinga isiyojitambua kabisa
 
JPM has gone and will never come back. He was simply a hero, purely an administrator and manager who was result based. From the day he knocked in the political platform in Tanzania, he had no "sweet" words to offer as some of his fellow ministers, but tough to the level he was likened to a bulldozer during BWM and JMK who were predecessors he served under their leadership 1995-2015.

In 2015 general election prep., CCM wanted a "saviour" who can redeem the party from drowning; as we are remember 2010 general election was very challenging to HE President Jakaya Kikwete when he was in pursuit to elected for the second term; it in our memory that lots of constituencies were gone to opposition and voter turnout declined based on several factors which can be debated other time.

It was said JPM won't have autonomous to take the lead at the President and CinC, It was claimed that CCM will control him; and it was a hot discussion during the campaign by people being skeptical on him to the extent the narrative came as "tatizo sio Magufuli, tatizo ni mfumo". Just after he was sworn in office JPM became a game changer and once again it was said, both the gov and the party is dancing the tune of his "music". Narratives kept changing on and on.

While he has slept, we have a lot to remember which brought merits to the common Tanzanians and even some Africans in their countries.
Nchi hii ni tajiri
Sisi tunaweza
For readers and believers on the power of positive thinking and power of positive confession, they had a ground to build their faith through strong affirmation from JPM. The bible has clearly written, and the "WORD become FLESH", some of other scriptures says "we reap what we sow".

JPM audacity to recall for mining contacts signed years back by "capturing with their pants down"; the giants mining had to seat at the table instead of taking us to the international commercial court as some had warned him. JPM made a step by getting his men into the board of Barrick Gold, getting some of the men into Executive management and assigned the giant company to open bank account in Tanzania, to ensure our motherland get forex based on sales obtained from minerals.

Restoring the giraffe back to the sky and re-branding AIR Tanzania; oh men, this was like unbelievable story which became real. A public corporate which had been leasing "ndege choka mbaya" was flying new planes. Some flight was flown in SADC region, some to Indian markets and there have been effort for Gatwick airport in the UK and Guagzhou in PRC.

We may differ on how we perceive him and his leadership style; many of us would agree based on experience in leadership and management, it takes a generation to obtain a golden leader who is a game changer. In the US they had FDR who led them during the time of great depression, they salute him based on merits he left for Americans. Tom Sankara served Bukina Faso just for 5 years, the reforms he made are still in Africans memories.

We and the generations to come, will always cerebrate the good deeds made by HE John Pombe Magufuli in his short tenure as the CinC of the United Republic of Tanzania. JPM, you were simply the best in this age of African leaders. The standards you set, will always be embraced.

Tunaonana baadae.

Freddie Matuja, you are a victim of one sided Magufuli propaganda. It's like a carcinomatous disease, we can't help.

All that you think are improvements in mining contracts is mere manipulation of the status quo to the gullible Magufuli and inexperienced top Govt negotiator in the name of Prof Kabudi. You need an advanced accounting knowledge to comprehend the terms that were unilaterally developed by Barrick
 
What a bull***t!

Nimeona hii moja tu hapo chini, labda ndiyo ya kushikilia: lakini lugha inasumbua sana.

Halafu unatumia mfano wa FDR?
Kwa mlinganisho upi?
FDR hakuwanyima haki raia zakena wala hakuwapora uhuru wao.

FDR afanye uchaguzi ule wa serikali za mitaa? Uchafuzi ule wa kura za wananchi kwenye "Uchafuzi mkuu"?

FDR atumie mabunduki na mapolisi kunyamazisha mawazo ya wengine?
Mkuu Kalamu,
Shilingi ina sura mbili na kampuni ina assets na liabilities. Kwa ni wema upo kwa JPM mimi nimejikita kwenye mazuri aliyofanya, simzuii mtu anaeona upande wa pili wa shilingi.

Hata JK ambae watu tulidhani tuko huru sana, Kibanda na Dr. Ulimboka walikutana na maswahibu na sote tunamshukuru Mungu walipona japo kuna muandishi wa Channel 10, David Mwangosi aliuwawa mbele ya polisi ambao wanadhamana ya kulinda amani.

Juzi UN wametoa tribute ya JPM, sio kwamba hawajui au hawakumbuki ni yapi alifanya hayakurandana na matarajio ya UN, yet wali-embrace mazuri aliyofanya na yanaweza kuigwa na waliopo kwenye utawala na wale watakaokuja kutawala mbele ya safari.

Tofauti za kifikra ni ubinadamu na ni afya kwenye jamii kutofautina ila sio kwa extent ya matusi. Staha ni utu
 
"Intellectuals and Race"
By Thomas Sowell.

Kwa waswahili wanasema kila mwamba ngoma huvutia kwake. Wasomi wa soft sciences wanasifika kwa kutengeneza urasimu ili kulinda umuhimu wao... Na wasomi wa sayansi wanasifika kwa kutatua changamoto cha kiujenzi hasa miundombinu.

Mawazo yoyote ili yaguse watu lazima yawe na matokeo katika vitu. Tangazo la Uhuru wa Marekani lilienda sambamba na watu wote kutumia "vitu" vilivyokuwepo (usafiri, afya, ajira) kwa usawa.

Itafaidika nini kama ukiwa huru, na unasikia mawazo mazuri ila hauna barabara, shule, huduma za afya, mashamba, masoko nk!? Mawazo ya mtanzania mwenzangu akiwa China ni mawazo fikirishi sana...
Umeandika vizuri sana....
akili pana inaweza kuelewa but I bet akili za kuvukia barabara haziwezi kuelewa kabisa
 
Freddie Matuja, you are a victim of one sided Magufuli propaganda. It's like a carcinomatous disease, we can't help.

All that you think are improvements in mining contracts is mere manipulation of the status quo to the gullible Magufuli and inexperienced top Govt negotiator in the name of Prof Kabudi. You need an advanced accounting knowledge to comprehend the terms that were unilaterally developed by Barrick
Twiga Corporation were born out of negotiations; better try to approach the woman you love and entice to marry her rather than complain.
Before JPM, Tanzania gov has neither been in the board nor corporation executive committee. His efforts was worth embracing and celebrating. If JK and Benard Membe could have managed to do that, I could have celebrated that victory as long as they corporation formed Tanzania become shareholder and not family members of a few politicians.
 
Aliyewabatiza Chadema nyumbu aliona mbali ni mijitu mijinga isiyojitambua kabisa
Wewe parachichi unahangaika sana na Chadema, mabosi wako wamekufumua fumua marinda bila kukupa cheo hasira unatukana ovyo. Laana hiyo kukubali kuingiliwa kinyume cha maumbile,Mungu hapendi ndiyo maana aliitia kiberiti Sodoma na Gomora, wewe endelea kuliwa tu utaona mwisho wake.
 
"Intellectuals and Race"
By Thomas Sowell.

Kwa waswahili wanasema kila mwamba ngoma huvutia kwake. Wasomi wa soft sciences wanasifika kwa kutengeneza urasimu ili kulinda umuhimu wao... Na wasomi wa sayansi wanasifika kwa kutatua changamoto cha kiujenzi hasa miundombinu.

Mawazo yoyote ili yaguse watu lazima yawe na matokeo katika vitu. Tangazo la Uhuru wa Marekani lilienda sambamba na watu wote kutumia "vitu" vilivyokuwepo (usafiri, afya, ajira) kwa usawa.

Itafaidika nini kama ukiwa huru, na unasikia mawazo mazuri ila hauna barabara, shule, huduma za afya, mashamba, masoko nk!? Mawazo ya mtanzania mwenzangu akiwa China ni mawazo fikirishi sana...
Kujenga shule, barabara na kadahlika siyo legacy, huo niwajibu kwa kiongozi yeyote awae.Huo in mkataba kati yake na wananchi, inaitwa social contract.
Sasa si itakuwa kichekesho kama utawekwa madarakani for public interest na ukafanya kadri ya makubaliano kisha ukaita kuwa ni legacy?
Legacy ni kitu extraordinary anachofanya MTU nje ya mkataba kati ya mtawala na wananchi mkuu.
 
Twiga Corporation were born out of negotiations; better try to approach the woman you love and entice to marry her rather than complain.
Before JPM, Tanzania gov has neither been in the board nor corporation executive committee. His efforts was worth embracing and celebrating. If JK and Benard Membe could have managed to do that, I could have celebrated that victory as long as they corporation formed Tanzania become shareholder and not family members of a few politicians.
Forgiving 190 billions USD in exchange for only 16% is ridiculous!
 
Hivi kuna mahusiano gani ma dokta wanaume na ufugaji wa nywele .kwa mfano huyo na dokta maro wa clouds fm
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Huyu jamaa apewe ulinzi moja kwa moja kutoka ikulu, kaongea fact, watu wanapigania miundombinu ambapo hata wakoloni hatuwakumbuki kwa reli ya kati waliyoiacha na isitoshe miradi yetu hii ilikua ya 10%. Mfukoni leo useme tuotetee!
 
Back
Top Bottom