Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

Kutoka kwa Mtanzania mwenzetu Twahir Abbas

Am sure hajakutesa na hakujuwi na alifanya kazi yake kwa namna Mungu alivyomuongoza.

Lucky enough alipata neema ya kumuita cardinal na kumpa mpako na kitubio cha mwisho... kwa mafundisho ya kikatoliki he has gone clean. According to family members alianzisha ibada na nyimbo muda mfupi kabla hajapumzika kwa amani.

Hukumu zenu zitawasaidia wenyewe siku yenu ikifika. Jiombeeni kifo chema kwa maana ukifia guest na mchepuko yoso unaenda straight to hell... hutakuwa na nafasi ya toba. Na kifo ni kama mwivi.
Ametutesa sana huyu shetani, let him rest in hell forever. Na kama unampenda you can equally follow him and be buried with him at Chato.. Nitatesekaje wakati mtesi analiwa na funza na minyoo sasa hivi? Unadhani Mungu ni wa Wasukuma pekee?? Katenda tuliyomuomba baada ya kupiga kila goti
 
Kwa wengine tunabusara za kumshukuru mama anayepika hata kama ni jukumu lake..

Kama mila zenu haziruhusu then una haki ya kutuhukumu.

Uraisi na jukumu lake ila angeweza kutofanya na tusingemfanya sh*t
Magufuli alichofanya ni kututoa kwenye mrahaba wa 6% alizoziacha JK na kwenda 16%. Naye Kikwete alitutoa kwenye 3% aliyoiacha BWM hadi 6%. Hayo ndiyo majukumu ya u-Rais, na hayamfanyi leo hii tuanze kumtukuza, sisi tulimchagua na tukamwauajiri afanye kazi hizo.

Vile vingine vinaitwa 50/50 economic benefits, na fact ya kuwa sisi ni class 2 shareholderskwenye Twiga Mining Company hazina any meaningul or incremental benefits. Transfer pricing will absorb all profits
 
Ametutesa sana huyu shetani, let him rest in hell forever. Na kama unampenda you can equally follow him and be buried with him at Chato.. Nitatesekaje wakati mtesi analiwa na funza na minyoo sasa hivi? Unadhani Mungu ni wa Wasukuma pekee?? Katenda tuliyomuomba baada ya kupiga kila goti
Hata Nyakati za utawala wa Mfalme Daudi katika maadiko matakatifu walikuwepo watu waliomuombea na kulalamika kama ulivyoomba,lakini akazaliwa Yesu Kristu akajiita Mwana wa Daudi .
 
Am sure hajakutesa na hakujuwi na alifanya kazi yake kwa namna Mungu alivyomuongoza.

Lucky enough alipata neema ya kumuita cardinal na kumpa mpako na kitubio cha mwisho... kwa mafundisho ya kikatoliki he has gone clean. According to family members alianzisha ibada na nyimbo muda mfupi kabla hajapumzika kwa amani.

Hukumu zenu zitawasaidia wenyewe siku yenu ikifika. Jiombeeni kifo chema kwa maana ukifia guest na mchepuko yoso unaenda straight to hell... hutakuwa na nafasi ya toba. Na kifo ni kama mwivi.
Yeye si alikuwa anajiita JIWE!! Sasa kitubio cha nini kwa Cardinal Pengo? Kama angekuwa Mkatoliki kweli asingezikwa kwa kuzungushiwa ngozi ya mnyama. Yule hakuwa na dini Ila alitumia RC kama platform ya kumuongezea umaarufu.

Mkatoliki hawezi kusimama Altareni na kubisha kauli ya Askofu wake
 
Hata Nyakati za utawala wa Mfalme Daudi katika maadiko matakatifu walikuwepo watu waliomuombea na kulalamika kama ulivyoomba,lakini akazaliwa Yesu Kristu akajiita Mwana wa Daudi .
Hilo likikuwa Shetani tu, hakuna chema kitakachotoka hapo
 
You don't need a lot of energy and time advocating for ones legacy, let's remind our leaders to do good deeds for public interest and the legacy will come calling.
And some will deny no matter what... If you ever lived you will have left a legacy .now it can be good or it can be bad..of which it's all about perceptions... So it is what it is.. and same goes for you.. I think you are equally employing so much energy to denying HIS Legacy why don't you just let it die quietly!??.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Askofu mungu boss?
Tunaliaribu kanisa tukiamini huwezi kumbishia Askofu kaka...
Yeye si alikuwa anajiita JIWE!! Sasa kitubio cha nini kwa Cardinal Pengo? Kama angekuwa Mkatoliki kweli asingezikwa kwa kuzungushiwa ngozi ya mnyama. Yule hakuwa na dini Ila alitumia RC kama platform ya kumuongezea umaarufu.

Mkatoliki hawezi kusimama Altareni na kubisha kauli ya Askofu wake
 
Back
Top Bottom