Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Am sure hajakutesa na hakujuwi na alifanya kazi yake kwa namna Mungu alivyomuongoza.
Lucky enough alipata neema ya kumuita cardinal na kumpa mpako na kitubio cha mwisho... kwa mafundisho ya kikatoliki he has gone clean. According to family members alianzisha ibada na nyimbo muda mfupi kabla hajapumzika kwa amani.
Hukumu zenu zitawasaidia wenyewe siku yenu ikifika. Jiombeeni kifo chema kwa maana ukifia guest na mchepuko yoso unaenda straight to hell... hutakuwa na nafasi ya toba. Na kifo ni kama mwivi.
Lucky enough alipata neema ya kumuita cardinal na kumpa mpako na kitubio cha mwisho... kwa mafundisho ya kikatoliki he has gone clean. According to family members alianzisha ibada na nyimbo muda mfupi kabla hajapumzika kwa amani.
Hukumu zenu zitawasaidia wenyewe siku yenu ikifika. Jiombeeni kifo chema kwa maana ukifia guest na mchepuko yoso unaenda straight to hell... hutakuwa na nafasi ya toba. Na kifo ni kama mwivi.
Ametutesa sana huyu shetani, let him rest in hell forever. Na kama unampenda you can equally follow him and be buried with him at Chato.. Nitatesekaje wakati mtesi analiwa na funza na minyoo sasa hivi? Unadhani Mungu ni wa Wasukuma pekee?? Katenda tuliyomuomba baada ya kupiga kila goti