kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.
Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.
Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.
Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.
UPDATE:MAMBO NI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
ww unasubilia nn??kila mtu na mahitaji yake.
Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.
Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.
Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.
UPDATE:MAMBO NI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
ww unasubilia nn??kila mtu na mahitaji yake.