Kutoka kwa Ontario; ujumbe wa manufaa kwa baadhi yetu

kawombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
14,239
Reaction score
15,876
Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.

Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.

Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.

Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.
UPDATE:MAMBO NI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

ww unasubilia nn??kila mtu na mahitaji yake.
 
Kiukweli huwezi amini kama aliyeandika hapo alimjibu mtu 'unathubutu vipi kuniuliza kama vile mimi ni binti yako wa mwisho' hapo baada ya kuulizwa kama picha aliyotuma kwenye group lao ina uhusiano na forex
Wabongo bana[emoji1]
 
Baazi kidogo nidhani umemaanisha bazazi hahahaha kumbe baadhi duh

Sasa hio emoj102 ni emoji ipi ya kucheka kulia,busu au shukran?

Ni emoj ya tafakali
 
Kiukweli huwezi amini kama aliyeandika hapo alimjibu mtu 'unathubutu vipi kuniuliza kama vile mimi ni binti yako wa mwisho' hapo baada ya kuulizwa kama picha aliyotuma kwenye group lao ina uhusiano na forex
Picha ilihusu nini mkuu?
Ama aliweka picha ya nini?
 
Huyu ni kijana wa kipekee sana hapa nchini Na mola atamjaalia,ila kuna haja ya kuchunguza uzao wake inawezekana ni mhamiaji .........maana hiyo silka ya kujitoa kwa ajili ya wengine sio maarufu sana hapa nchini

Ni mtanzania mwenzetu kabisa!!
Kujitoa ni moyo tu Mkuu
 
Kiukweli huwezi amini kama aliyeandika hapo alimjibu mtu 'unathubutu vipi kuniuliza kama vile mimi ni binti yako wa mwisho' hapo baada ya kuulizwa kama picha aliyotuma kwenye group lao ina uhusiano na forex

Tuitikie wito kwa hili sasa!! Ndio hoja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…