Hakika imefeli vibaya pongezivKwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.