Kutoka kwa wahanga watarajiwa wa Covid-19

Kutoka kwa wahanga watarajiwa wa Covid-19

Kwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.
Hakika imefeli vibaya pongeziv
 
Kwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.

Mkuu MKALAMO unaitwa huku utupe formula angalau ya haya matangamwizi na mapilipili ya vichaa.
 
We unatakaje kwani ,jiweke lockdown vaa barakoa kaa mbali mita moja hata na nusu,usipande daladala lililojaa na mengine kama hayo kinyume chake kutaka wote tulie mlio mmoja ni uzandiki.

Kabisa mkuu. Nadhani hata wanaotengenezewa sababu za vifo zikiwamo cardiac arrest, pneumonia, na hata ajali za boda boda wanakubaliana nawe.
 
Muda gani mkuu? Mlisema hivihivi miezi kadhaa iliyopita mbona hali shwari, hiyo miili inayodondoka barabarani ipo wapi?

Mwenzetu u mzima buheri wa afya?

Tukumbukane japo kwa salamu.
 
Maisha yanaendelea boss, hata wewe ungali mzima kabisa.
 
Kwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.

Vipi mkuu pongezi kwa rais mwenye maono umemfikishia?
 
Back
Top Bottom