Hakika imefeli vibaya pongezivKwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.
Kwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.
Hakuna aliyekukataza kujilockdown.
We unatakaje kwani ,jiweke lockdown vaa barakoa kaa mbali mita moja hata na nusu,usipande daladala lililojaa na mengine kama hayo kinyume chake kutaka wote tulie mlio mmoja ni uzandiki.
Muda gani mkuu? Mlisema hivihivi miezi kadhaa iliyopita mbona hali shwari, hiyo miili inayodondoka barabarani ipo wapi?
Maisha yanaendelea boss, hata wewe ungali mzima kabisa.
Unaandika kutoka kuzimu au peponi baada ya kufa
Kwa Tanzania Corona imefeli vibaya mno vimebaki vitisho tu kama vya huyu mleta maada. Pongezi nyingi kwa Rais wetu mwenye maono na NIMRI kwa kutupa fomula ya kutengeneza dawa ya kutibu na kujikinga na Corona yenye mchanganyiko wa tangawizi,vitunguu swaumu, vitunguu maji, limau na pilipili kichaa.