Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 948
- 1,911
Sio michuzi huyo kwelii ..hahaHiyo picha ipo. quality kuzidi simu za iPhone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio michuzi huyo kwelii ..hahaHiyo picha ipo. quality kuzidi simu za iPhone
Hii huwa ni kama desturi eeh, naona vyombo vingi vikogo hivooNi kweli enzi za RO watanga wengi waliingizwa kwenye idara.
Wewe unataka tu kubadili upepo wa uzi basi!!Khamis mwinjuma aka mwana fa ni mfanyakazi wa tiss kitambo sana.
Ndipo na akina Ummy walipo ponea huko...Ni kweli enzi za RO watanga wengi waliingizwa kwenye idara.
MNazingua😀😀😀Ni Hamisi akiwa na Marehemu Amina, miaka inakimbia sana.View attachment 2753765
Ngoja waje wajukuu wa Steve Jobs.Hiyo picha ipo. quality kuzidi simu za iPhone
KabisaHiyo picha ipo. quality kuzidi simu za iPhone
Wabongo wanataarifa zako hata wewe huna etWanasema Amina alimwachia jamaa wadudu🤣🤣
Amina kafa 2007? Cheki tena kumbukumbu zakoApo amina chifupa bado kigori aisee huyu dada alikuwa mzuri sana alitingisha sana miaka ya 2003 to 2007 pale makongo apumzike kwa amani
Ujaelewa kwani hapo ninesema 2003 to 2007 yaani ndo miaka ya mwisho kwake ushaelewa mkuuAmina kafa 2007? Cheki tena kumbukumbu zako
Makongo imeingiaje hapo? Wakati hakuwa MwanafunziUjaelewa kwani hapo ninesema 2003 to 2007 yaani ndo miaka ya mwisho kwake ushaelewa mkuu
Kumbe ilikuaga kazi yake. Nice one!!Wanasema Amina alimwachia jamaa wadudu🤣🤣
Labda alikuwa anaeishi mitaa hiyo au kutembelea huko dar ndogoMakongo imeingiaje hapo? Wakati hakuwa Mwanafunzi
Hujui kaa kimya kama jamaa yakoLabda alikuwa anaeishi mitaa hiyo au kutembelea huko dar ndogo
Nchi hii Kila mtu ni kitengo ndiomaana hatuendelei.wanalipana mishahara na posho tuu🤣🤣🤣🤣🤣🪑Ni kweli enzi za RO watanga wengi waliingizwa kwenye idara.