Uchaguzi 2020 Kutoka Musoma: Kinachoendelea kwenye kampeni siyo hakikubariki

Uchaguzi 2020 Kutoka Musoma: Kinachoendelea kwenye kampeni siyo hakikubariki

Mbona juzi niliona mashekhe na askofu kwenye mkutano wa CHADEMA
 
Hawa ccm sijui akili walipeleka wapi wanaendesha kampeni kwa gharama kubwa wakati kila mtu
anajua uchaguzi wa mwaka huu ni uchaguza carbon dioxide
 
Kama hamtoi sadaka then kiburi cha hao viongozi wa dini kitaisha lkn since sadaka bado inaendelea kutolewa kwa kasi then tuwe wapole.
 
Ipo shida kubwa bora Askofu wa RC kaombea uchaguzi na taifa, wengine wametoa sala ya Kikada.


Tena na kanisa la RC Bali limejiingiza rasimi kwenye kampeni za CCM,walianza Jana kutumika Mjini Bariadi.
 
sijawahi ona watu wanaolalalamika kama chadema
 
Moja ya njia zinazotumiwa na serikali ya ccm kuwatumia wachungaji, masheikh nk kufanya kampeni kwenye vizimba vya siasa kwa kigezo cha kufanya sara na dua hakikubariki kwenye medani ya siasa.

Hizi ni njia za kulasimisha na kulainisha wapiga kura kuwaaminisha kuwa huyo ni rais na si mgombea wa nafasi ya urais.

Viongozi wenyewe wa dini wanaendesha dua kwa hofu kabisa na wwnaonekana kabisa wanakosa ule ujasiri tunaoufaham na wanaoutumia jwa waumini wao wanapokosa.

Hali hii inayotumiwa na ccm sidhani kqma inaweza kutumika upande wa pili wa vyama mbadala na ikitumiwa basi viongozi hao wataishi kwa wasiwasi sana, kwenye eneo lao la kazi.

Msema chochote wa ccm polepole anaongea kwa nguvu kutangazia umma kuwa hii ni sherehe ya kuazimisha miaka mitano ya magufuri ah [emoji2955]!!.
ccm kwisha kazi
 
sijawahi ona watu wanaolalalamika kama chadema
Na mama Nyerere pia.
Screenshot_2020-09-05-14-15-32-1.jpg
 
Kuna swali huwa najiuliza hivi vyama pinzani hawarusiwi kwenda na wasanii??
Hiyo ni sawa na DEDs, DCs, RCs hata MaRPCs kwenda kwenye mikutano ya kampeni za CDM. Aliyewateua atawashughulikia! Vivyo hivyo kwa wasanii, baada ya uchaguzi incase Chadema haikushinda watashughulikwa vibaya sana na upande wa pili.
 
Hiyo kudanganya ebdeleeni nayo nyie. CCM ukweli kwa kwenda mbele
Nakupa mfano wenye nguvu ya kujadili.
[emoji117] Katiba ya tz inampa nguvu rais kuwa na mamlaka makubwa kwenye jambo analotaka kufanya au kulitolea maamuzi na ndiyo maana anafanya akielewa analindwa hata akitoka madarakani hatashitakiwa.

Ni kiongozi gani wa kisiasa anayetaka nafasi ya urais anakwambia akiingia madarakani ataibadilisha katiba ili imbane?.

Endelea kusubiri na utadanganywa mpaka uzeeni mwako.
 
Post yako ina typos nyingi ni dalili kuwa umepanic. Relax. Duwa'a ni sehemu ya utamaduni wetu kama watz. Mengine ni yako.
 
Post yako ina typos nyingi ni dalili kuwa umepanic. Relax. Duwa'a ni sehemu ya utamaduni wetu kama watz. Mengine ni yako.
Hujui kitu wewe kijana typos sijui ndiyo mdudu gani au typographical error ndizo unazotaka kuiaminisha akili yako na wasiojua kitu kama wewe na walio upande wako ndizo unataka ziinekane, mh!
 
Back
Top Bottom