Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
- Thread starter
- #21
Lakini vijitu vya siku hizi kama akina Da'Vinci na mwenzake Mbao za Mawe kutembea kutoka mitaa ya Gerezani Kariakoo hadi Mnazi Mmoja wapo hoi utadhani wametoka kulimishwaNikweli umbali haukua tatizo kwa watu wa zamani,babu yangu aliwai kuniambia kua yy na kaka yake walitokea younde Cameroon mpaka Zaire baadae wakaja Tanganyika