Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
- Thread starter
-
- #21
Lakini vijitu vya siku hizi kama akina Da'Vinci na mwenzake Mbao za Mawe kutembea kutoka mitaa ya Gerezani Kariakoo hadi Mnazi Mmoja wapo hoi utadhani wametoka kulimishwaNikweli umbali haukua tatizo kwa watu wa zamani,babu yangu aliwai kuniambia kua yy na kaka yake walitokea younde Cameroon mpaka Zaire baadae wakaja Tanganyika
Wachagga ni mchanganyiko wa makabila zaidi ya matanoMmh mi najua Wahehe ni Wabantu inakuaje tena wawe Hamitics kutoka Ethiopia.
Halafu kila kabila kubwa Tz husema wametoka Ethiopia mfano Wasukuma, Wachaga n.k ni kwa nin?
Mmh mi najua Wahehe ni Wabantu inakuaje tena wawe Hamitics kutoka Ethiopia.
Halafu kila kabila kubwa Tz husema wametoka Ethiopia mfano Wasukuma, Wachaga n.k ni kwa nin?
Sawa mkuuWachagga ni mchanganyiko wa makabila zaidi ya matano
Aiseeee wakutosha aliyeleta huu uzi si afungue group la watsap la HEHE HEROKumbe wahehe tupo wengi humu...kamwene nye vayawe
Shittt story za kalee
Sekindole nn[emoji846]nimekupenda ghafla mleta uzi, ni ngum sana kupata hiv vtu ktk haya maisha tuliyopo inahitaji juhudie meona jina la bib zangu.wote sekinyaga na sekind.......