Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Washagonga 30 something huwa wasumbufu, visirani, kero mtindo mmoja.Mimi anachonikera tukiwa kitandani tunasex muda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?" "Lini utakuja kujitambulisha kwetu?"
Huwa ananikata stimu sana huyu manzi age yake 33 ana wasiwasi sana umri sio rafiki
Hii imeenda mkuuWashagonga 30 something huwa wasumbufu, visirani, kero mtindo mmoja.
Dawa kuwakazia tu akielewa SoMo haya asipoelewa piga chini.
Women have biological timeframe
Men have financial timeframe
Natafuta mwanamke wa kuoa. Asiwe na umri zaidi ya miaka 28. Awe Mkristo.
Asiwe na Watoto Zaidi ya mmoja.
Aliye tayari aje PM.
Kama hauko tayari kuolewa unamkubalije mwanaume, huko ndio kudanga sasa.Bora hata hao wanaouliza utanioa lini kuliko Hawa wengine wanaowaita wapenzi wao" Mume wangu" na sio mume wake,inaonesha ni jinsi gani walivyo desperate. That aside, Kuna wanaume pia wanalazimisha ndoa kwa mwanamke ambaye hayuko tayari kuolewa.
Sasa kama kazi yako ikiwa imeshakamilika aendelee kusumbua kwanini?Huyu ukishamuoa tu na akishaanza kuizoea ndoa. Yule msela wake wa chuo ambae unakuta waliachana kwa visa anaanza kumrudia.
Mume unaonekana bonge la ndezi, na unyumba unaanza kupewa kwa kupimiwa. Kutwa visingizio vya kuumwa au vijisafari vya kijinga eti kuwaona ndugu au wazazi kumbe anaenda kuchakatwa na vibwana vyake. Bladifakeni [emoji34][emoji34][emoji34]
Sahihi kabisaMi nahisi kushupalia ndoa ni ishara ya kutojiamini!au goal digger!
mi nikipendwa hata muda wa kujadili ndoa sinaga yani nafurahi tu na mpenzi mambo mengine nasahau!
Kikubwa nnachowazaga ni nifanye kazi nipate hela maisha yangu yaende haya mengine huwa sijali
Inasikitisha sanaSasa kama kazi yako ikiwa imeshakamilika aendelee kusumbua kwanini?
Mtindo ulikuwa mwakani 🤣 mwisho wa siku nilibidi nikimbie tu.Akikuuliza "utaniona lini?" broo we mwambie mwezi ujao, alaf endelea kupiga pumbu.
Akikuuliza tena "utakuja kujitambulisha lini?" mwambie huohuo mwezi ujao, alaf we endelea kupiga pumbu.
Mwezi ujao ukifika akiuuliza "vipi siulisema mwezi huu?" mwambie mishe zimefeli bhana mwezi ujao tena, alaf we endelea kupiga pumbu tuu
Maswali haya uulize mkiwa mmeshibana kwa miaka 3 au zaidi. Sio uhusiano hata miezi 6 hauna unaanza kukazania ndoa lazma muhuni aingie mitini.Hao wanawake wako sahihi kwa 100%.
Mimi binafsi nasema hao ndio wanawake wanaojitambua. Mwanamke yoyote mwenye kujitambua ni lazima atauliza haya maswali mapema kabisa kwenye mahusiano.
1. Una mpango gani na yeye?
2. Je utamuoa?
3. Umepanga kumuoa lini?
4. Utakwenda lini kwao kujitambulisha?
🤣 Nampa pombe anywe ili kupooza machungu 🤣 maana hata mimi na mama yake kuna muda tunatibuanaga.Hizi ni scenario za kawaida kwa sasa kwenye maisha ya sasa, wewe ni mzazi (baba) umeona mwenendo usioleweka kwa binti yako, ukaamua kumuuliza, akawa mkweli na muwazi kwako (kwamba yuko kwenye mahusiano lakini yasiyoeleweka), wewe mzazi utafanyeje? Utakwepa?
Hii kitu ni balaa sana,
Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho,
Maswali kama, "hivi utanioa kweli?"/ "baby utanioa lini"/ "Mbona huji kujitambulisha kwetu?"/ Mbona hunitambulishi kwenu?" n.k. Hata kama ulikua kuna mambo unaweka sawa kwanza ili umuoe unaweza kughairi tu.
Kunyimwa penzi kwa kuona kama unamchezea ni jambo la kawaida. Ukipewa basi inabidi ujihadhari, usipotegeshewa mimba basi utabambikiwa ilimradi apate cha kukushikilia.
Mbaya zaidi unakuta alishatumika balaa, speedmeter inasoma kilometa za kutosha.
Kwa hili wanawake mbadilike mjue tu ukiweka presha kubwa ya kupata kitu ndio unakikosa kabisa.
Kingind oa msichana wa ujana wako tu. Yule mliekuwa mnazagamuana toka akiwa mdogo ndio muoe maana wewe ndie utakuwa X mwandamizi.Upo sahihi. mimi Kuna Mademu wawili wameolewa na Wana Waume zao ila Ndio haipiti Mwezi wananitafuta .. Na Mwingine ana mtoto kabisa ..
Wanaume tushaambiwa tuishi nao kwa. akili.. Na Akili moja Wapo ni Kuoa Bikra ili Uwe na Uhakika zaidi
Hongera kwa kushtuka mapema.Yaani kuna mmoja alikuwa stress wenzie wameolewa akaforce ndani ya miezi mitatu niwe nimeshamuoa pia anataka harusi awafunike Rafiki zake wote na anunuliwe Pete ya Tanzanite..duuh nkapiga chini mapema...