Kutoka Sokoine: Tanzania Prisons yairarua kirahisi Simba SC kwa Mabao 2 kwa 1

Kutoka Sokoine: Tanzania Prisons yairarua kirahisi Simba SC kwa Mabao 2 kwa 1

Wana mbwembwe hao mara tanapa wanamuomba waziri aingilie kati mnyama anafanya madhara mikoa ya kanda ya ziwa basi alakuli hali majisifu yasio na kifani sasa wanasema wachezaji hawajalipwa mishahara ya mwezi wa kumi ndo maiti ya kiswahili tena haikosi sababu.
ec74bce0d7319803f3924ace6f14ec91.jpg
 
Wana mbwembwe hao mara tanapa wanamuomba waziri aingilie kati mnyama anafanya madhara mikoa ya kanda ya ziwa basi alakuli hali majisifu yasio na kifani sasa wanasema wachezaji hawajalipwa mishahara ya mwezi wa kumi ndo maiti ya kiswahili tena haikosi sababu.
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Mkuu unanivunja mbavu, jamaa wakikusikia hawatokuacha hivi hivi.
Eti wana mbwembwe, labda waziri alikuwa bize bungeni
 
hahahahaha shemeji umeamua kunituliza kijanjaa, ila haya matokeo yanauma sana shemeji.

Mimi nimekumis sana pia, salamu kwa familia yako
Sisi familia yake ya Mbeya tumezipatq salamu hizo... asante kwa kutusalimia
 
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Mkuu unanivunja mbavu, jamaa wakikusikia hawatokuacha hivi hivi.
Eti wana mbwembwe, labda waziri alikuwa bize bungeni
Huyo sembo sio mchezo akianza kukupangia kikosi kisha akwambia kuna wengine hawajagusa ila nao wana uwezo mkubwa tu yaani simba ina kikosi kipana tunamwambia ndugu mbona ndio pamepambazuka tu safari bado ooh hii simba itakuwa bingwa afrika eeh
 
Huyo sembo sio mchezo akianza kukupangia kikosi kisha akwambia kuna wengine hawajagusa ila nao wana uwezo mkubwa tu yaani simba ina kikosi kipana tunamwambia ndugu mbona ndio pamepambazuka tu safari bado ooh hii simba itakuwa bingwa afrika eeh
Mkuu unanivunja mbavu [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Sembo kakimbia
 
Simba washa nogewa na huu utamu!!!
 
Back
Top Bottom