Kutoka Sokoine: Tanzania Prisons yairarua kirahisi Simba SC kwa Mabao 2 kwa 1

Nifah utaua mtu kwa Pressure by Tamuganyizi hapa..........leo mie Mnusaji nawanusa Simbaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamani I miss youuuuuu.
Karibu tushangilie bwana,hawa Simba walitunyima usingizi sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamani I miss youuuuuu.
Karibu tushangilie bwana,hawa Simba walitunyima usingizi sana.
I miss you too........nisamehe kwa Avatar zangu za ajabu ila niko nashangiliaaaa
 
Bora siku yangu iishe vizuri maana nimeumia sana leo asubuhi, nlipoona Clinton anaukosa urais
Sijui tufanye mpango tuonane tuimalizie siku vizuri? [emoji12]
Asubuhi nilidataaaa,acha tu mkuu.
Asante Prisons,asante Hayanya.
 
Simba uongozi umeanzisha shida. wachezaji hawajapewa mshahara eti wamefungwa na lyon. waliambiwa leo wakiifunga prison watapewa ndipo baadhi ya wachezaji waligoma. Bahati ligi inasimama la sivyo vipigo vikiendelea. Na raundi ya pili mechi nyingi ugenini. Walianza vizuri ila sasa wasipo kaa sawa itakuwa zahma. Ni hayo tu.
 
Shemeji punguza munkari, tuliwaambia msitukane mamba, kabla hamjavuka mto. Za miaka kwanza shem, miss you sana. Pole
hahahahaha shemeji umeamua kunituliza kijanjaa, ila haya matokeo yanauma sana shemeji.

Mimi nimekumis sana pia, salamu kwa familia yako
 
Sijui nicomment nini,nimepagawa ndugu watazamaji,nikitoka eneo korofi ntacomment

cc.mr eneo korofi(sembo)
 
Acha kupika majungu wewe mwanayeboyebo
 
Poleni sana watani zangu:
Mbona dakika za nyongeza ni 7??[emoji1] [emoji1]
 
Poleni sana watani zangu:
Mbona dakika za nyongeza ni 7??[emoji1] [emoji1]
Tulikuwa tunawaambia ligi bado mbichi hii jamani wanajibu kwa simba hii tupewe Ubingwa wetu tu kwanza tunaanzaje kupoteza mechi mara ooh simba kama real Madrid hatujafungwa basi ilikuwa majigambo juu ya majigambo.
 
Asiyekubali kushindwa si mshindani......
Wanasimba tumeyapokea matokeo kama yalivyo....,

Tugange yajayo....

Simba mwiko kununua mechi....
Ushindi halali....
Unamaanisha Tanzania Prisons wamenunua mechi......?

au

African Lyon.
Acheni hizo aisee... Wanauwezo wa kuwafunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…