Kutoka Taifa: Yanga Vs Toto African, vita ya ubingwa ama kushuka daraja!

Time is running out πŸ™‚πŸ™‚ So please make up your mind asap so that I can introduce you to the best team in Tanzania pale Msimbazi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Reactions: BAK
Ukianza kulia lia na kutaka kuhamia Msimbazi nafasi zitakuwa zimeshajaa itabidi tu ubaki na kandambili zako kuishi jangwani huku ukitafunwa na Mbu. πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
Pole mzee baba.. Hizo kauli za kishujaa tu hakuna kitu hapo. We focus kwenye kakombe kaliko baki ucje kushangaa hata hilo ukakosa halafu unaendelea tu kupiga domo.
 
How I miss these days.. I was so young... Ushabiki wangu kwa yanga ulianza mida hii....
1993

Hapo namsoma Keneth Mkapa na Stephen Nemes...
Mimi nilianza 1991,jina langu walinibatiza Keny Mkapa hadi leo.
 
Ndiyo sababu mpira wa bongo kwenye ushindani wa Kimataifa umeshindikana. Kwenye ushindani wa kimataifa hakuna ushindi wa mezani.
Namkumbuka sana Tenga sio siri,japo alikuwa na mapungufu yake ila c km ya huyu
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…