Kutoka Taifa: Yanga Vs Toto African, vita ya ubingwa ama kushuka daraja!

Hahahaha nlsema, pengo la msuva lilionekana gem ilopta na leo lpo tena
 
ngapi ngapi
 
aaaaaah nifah weee kama kawa.. nipe matokeo ngapingapi..
nataka nijiandae kumfungua JAKIDANIELIπŸ˜› wangu hapa
Hahahaaaaa wewe sio yule bwana mpua kweli?
Bado ni 0-0 mkuu.
Yanga wanatakata lakini hakuna goli lililopatikana.
 
Hahahaaaaa wewe sio yule bwana mpua kweli?
Bado ni 0-0 mkuu.
Yanga wanatakata lakini hakuna goli lililopatikana.
Commander mi timu zote hizo zinaniuma sana. Kwa ukweli Toto kushuka ni pigo na Yanga kukosa point na ni pressure kwa mnyama yupo karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…