Kutoka Taifa: Yanga Vs Toto African, vita ya ubingwa ama kushuka daraja!

Toto letu liachwe ligi kuu liendelee kumshughulikia Simba aliyepakatwa.
 
Japo Jangwani ni kwangu, nasikitika toto letu kufungwa. Tungelipa droo tu ili liwe na matumaini ya kubakia ligi kuu.
 
Si vizuri baba kumuaibisha mtoto wake...so wana Mwanza mwakani ndio basi tena duh! Kweli ukizoea mbeleko una kazi sana dah
 
GOOOOOOOOO Dk 81, krosi safi ya Juma Abdul, Tambwe anaruka na kupiga kichwa safi kinachotinga wavuni kama roketi
Dakika 80, kipa Kisu anafanya kazi nyingine ya ziada kuokoa mpira wa kichwa wa Tambwe
Dakika 79 kipa Kisu anapangua mpira wa kichwa ambao ulikuwa unajaa wavuni
Dakika 78, mpira ulikuwa umesimama kwa takribani dakika mbili baada ya mchezaji mmoja wa Toto kuumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…