Kutoka Tanga: Tujitathmini kidemokrasia tunaweza kuwa tunapwaya

Kutoka Tanga: Tujitathmini kidemokrasia tunaweza kuwa tunapwaya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana hii clip inajieleza:



Hii ni katika ziara ya makamu wa rais mama Samia.

Huyu jirani yetu asiyekuwa mwema, kazi anayo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mitano tena 😂😂😂

(Natumia Freebasics hvy cjaona video)
 
Mitano tena 😂😂😂

(Natumia Freebasics hvy cjaona video)

Kwa kweri tuko vizuri:

IMG_20210218_174254_207.jpg
 
Wagalatia tumekishwa. Pona yetu ni yeye kuzinduka tuu. Rais atatokea upande wa pili asipozinduka. Makamu upande wao bashir, pm ni wao, Tiss ni wao. Riz1 atakuwa mambo ya ndani, makambajr foreign, fedha atakuwa mtu wao. Sisi tutabakia tu na kina mabeyo, Sirro na mambosasa ambao watakaa miez michache kuzuga hawana impact yeyote.

JESUS please help us!
 
Wagalatia tumekishwa. Pona yetu ni yeye kuzinduka tuu. Rais atatokea upande wa pili asipozinduka. Makamu upande wao bashir, pm ni wao, Tiss ni wao. Riz1 atakuwa mambo ya ndani, makambajr foreign, fedha atakuwa mtu wao. Sisi tutabakia tu na kina mabeyo, Sirro na mambosasa ambao watakaa miez michache kuzuga hawana impact yeyote.

JESUS please help us!

Tunahitaji fresh start.

Barakoa na social distancing ni priority!
 
Back
Top Bottom