Kutoka Tanga: Tujitathmini kidemokrasia tunaweza kuwa tunapwaya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana hii clip inajieleza:

Your browser is not able to display this video.


Hii ni katika ziara ya makamu wa rais mama Samia.

Huyu jirani yetu asiyekuwa mwema, kazi anayo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mitano tena 😂😂😂

(Natumia Freebasics hvy cjaona video)
 
Wagalatia tumekishwa. Pona yetu ni yeye kuzinduka tuu. Rais atatokea upande wa pili asipozinduka. Makamu upande wao bashir, pm ni wao, Tiss ni wao. Riz1 atakuwa mambo ya ndani, makambajr foreign, fedha atakuwa mtu wao. Sisi tutabakia tu na kina mabeyo, Sirro na mambosasa ambao watakaa miez michache kuzuga hawana impact yeyote.

JESUS please help us!
 

Tunahitaji fresh start.

Barakoa na social distancing ni priority!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…