Hichi kigengo cha propaganda huwa kinalipwa na nani[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Wakulima mjini Tunduru wakiri kipokea fedha zao kwenye akaunti zao baada ya kuuza korosho kwa jeshi.
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha vibega na wafanyabiashara ya usafirishaji wa korosho wameendelea kufanya kazi zao na kupata ujira wao bila matatizo yoyote.
Hongera JPM kwa uamuzi sahihi.
Sasa tuhamie kwenye FOREX ...!!
Nchi na wananchi lazima tukae sawa!
Mafisadi kama wewe ndiyo mnalalamika kafeli kwa kuwa amewabana kwenye ufisadi wenu!! Badilikeni acha ufisadi mkuu la sivyo hutaonekana uraiani.Hichi kigengo cha propaganda huwa kinalipwa na nani[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Jiwe kafeli wallahi
Wakulima mjini Tunduru wakiri kipokea fedha zao kwenye akaunti zao baada ya kuuza korosho kwa jeshi.
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha vibega na wafanyabiashara ya usafirishaji wa korosho wameendelea kufanya kazi zao na kupata ujira wao bila matatizo yoyote.
Hongera JPM kwa uamuzi sahihi.
Sasa tuhamie kwenye FOREX ...!!
Nchi na wananchi lazima tukae sawa!
source:ITV NEWS
Hivi ndio huyu aliiba 1.5 trillion mkuu?Mafisadi kama wewe ndiyo mnalalamika kafeli kwa kuwa amewabana kwenye ufisadi wenu!! Badilikeni acha ufisadi mkuu la sivyo hutaonekana uraiani.
Zero brain wa ufipa mna kihoro kama bao la kwanza...hiyo ni Tunduru tu na sio Tunduru yote hayo ni mauzo ya siku hizi chache.x = 500,000,000/3,300 = 151,515 = ~151 Tones
Nakukumbusha kuna Tani laki 221.
% ya walionunua = 151/221,000 = 0.068%
Zero Brains wa Lumumba wanapenda namba lakini hawajui hesabu.
Wakulima mjini Tunduru wakiri kipokea fedha zao kwenye akaunti zao baada ya kuuza korosho kwa jeshi.
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha vibega na wafanyabiashara ya usafirishaji wa korosho wameendelea kufanya kazi zao na kupata ujira wao bila matatizo yoyote.
Hongera JPM kwa uamuzi sahihi.
Sasa tuhamie kwenye FOREX ...!!
Nchi na wananchi lazima tukae sawa!
source:ITV NEWS
Duh!TUNDURU AU Tunduma sijaelewa maana Tunduru unayosema. Hali mbaya sana ya Kibiashara ..
Sio kila muda upost kitu,tsh 500 million ni sawa na wamenunua tani 152 tu.Sasa sielewi unajaribu kuwaeleza nini watanzania juu ya hatma ya zaidi ya tani 200,000 za mavuno ya korosho.Wakulima mjini Tunduru wakiri kipokea fedha zao kwenye akaunti zao baada ya kuuza korosho kwa jeshi.
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha vibega na wafanyabiashara ya usafirishaji wa korosho wameendelea kufanya kazi zao na kupata ujira wao bila matatizo yoyote.
Hongera JPM kwa uamuzi sahihi.
Sasa tuhamie kwenye FOREX ...!!
Nchi na wananchi lazima tukae sawa!
source:ITV NEWS
Watanzania wenye uelewa wapo wengi ...hizi ni updates za zoezi la uuzaji na ununuzi wa korosho chini ya JWTZ.Sio kila muda upost kitu,tsh 500 million ni sawa na wamenunua tani 152 tu.Sasa sielewi unajaribu kuwaeleza nini watanzania juu ya hatma ya zaidi ya tani 200,000 za mavuno ya korosho.
Kakurupuka huyo Lumumba akidhani mil500 ni pesa nyingi sana.x = 500,000,000/3,300 = 151,515 = ~151 Tones
Nakukumbusha kuna Tani laki 221.
% ya walionunua = 151/221,000 = 0.068%
Zero Brains wa Lumumba wanapenda namba lakini hawajui hesabu.