jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Wakulima mjini Tunduru wakiri kipokea fedha zao kwenye akaunti zao baada ya kuuza korosho kwa jeshi.
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha vibega na wafanyabiashara ya usafirishaji wa korosho wameendelea kufanya kazi zao na kupata ujira wao bila matatizo yoyote.
Hongera JPM kwa uamuzi sahihi.
Sasa tuhamie kwenye FOREX ...!!
Nchi na wananchi lazima tukae sawa!
source:ITV NEWS
Kiasi cha zaidi ya sh. milioni 500 zimeshapokelewa na wakulima bila usumbufu wowote.
Aidha vibega na wafanyabiashara ya usafirishaji wa korosho wameendelea kufanya kazi zao na kupata ujira wao bila matatizo yoyote.
Hongera JPM kwa uamuzi sahihi.
Sasa tuhamie kwenye FOREX ...!!
Nchi na wananchi lazima tukae sawa!
source:ITV NEWS