comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Mchakato uchaguzi wa kidemokrasia huishia na makabidhiano ya mamlaka, madaraka na ofisi. Leo Lissu kaingia ofisini na mtangulizi wake Mbowe hakuwepo kumkabidhi mamlaka, madaraka na ofisi. Hii inafanya uchaguzi wao kuwa mapinduzi
View: https://www.youtube.com/watch?v=sg4irUqemHs
View: https://www.youtube.com/watch?v=sg4irUqemHs