Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chadema yupo mgombea urais wa kudumu dr.slaa hamna mwingine.
Usitake nikutukane bure.Hakuna kipya CCM,huyo Makamba ni sehemu ya Urais wa KIKWETE.Yeye ni Waziri.Kufeli kwa kikwete ni kufeli kwake pia.Aache kutulaghai.
Makamba ni JK mwingine.Anatufunga kamba kweupe.Hii speech imejaa uongo mtupu,January acha kududanganya kabisa,Yaani Tanzania iwe kama USA kwa miaka Mitano,jamani jamani acha kutudanganya
Hii speech imejaa uongo mtupu,January acha kududanganya kabisa,Yaani Tanzania iwe kama USA kwa miaka Mitano,jamani jamani acha kutudanganya
Huyu ni rais wa baadae, sasa hivi atapigwa chini!This is the CHOSEN ONE
hilo kubalini
huyu bwana nilisoma nae udsm, mjinga mjinga na mpenda sifa flani.
Naibu waziri anaingia kwenye baraza la Mawaziri,hakuna jipya hapo ye ni sehemu ya serikali ya JK.acha porojo hizo who is naibu waziri
Huyu ataendelea kuwa rais kivuli muda wote.