Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Chadema yupo mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hamna mwingine.tunawasubiri wasanii wa futuhi mmalizia usanii wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema yupo mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hamna mwingine.tunawasubiri wasanii wa futuhi mmalizia usanii wenu
kwani ikulu wanaenda kubeba maguniaHuyu akagombee umodo.
Kuna ahadi nzuri zilizowahi kutolewa kushinda za JK? Hakuna jipya CCM
Kikwete sijui anajisikiaje akisikia yanayoongelewa na watangaza nia😕
Namwona anamkumbatia kwa mahaba yule kaka poa maarufu anaemtumia kutukana wapinzani wake twitter Salim aka idiot cony.
Usitake nikutukane bure.Hakuna kipya CCM,huyo Makamba ni sehemu ya Urais wa KIKWETE.Yeye ni Waziri.Kufeli kwa kikwete ni kufeli kwake pia.Aache kutulaghai.kila kitabu na aya zake .......... kikwete ilikuwa ari mpya kasi mpya na nguvu mpya bt kwa sasa ni TANZANIA MPYA TUTAIJENGA SOTE