Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Hoja yake ya nyumba za kupanga iliishia wapi? Alifanya utekelezaji gani kuisimamia mbona hatuioni?
 
Hiyo ni mikakati katika kuijenga TANZANIA mmpya ,muachane na kupenda njia za shortcut huyu ndiiye atakayetuvusha ....
Anayoyasema yeye ndo short cut,ukizingatia jinsi umaskini uliyoilemea Tanzania,kwa miaka mitano kufanya yote hayo ni uongo tena uongo mkubwa sana
 
Uwa una hoja mfu sana,
Nijibu haya, DR slaa amegombea mara ngapi Uraisi wa Tanzania?

Labda unasahau ndio tayizo la CCM wagumu kuelewa, wepesi kusahau, makada kama Mwandosya, Lowasa mara ngapi wamewania nafasi ya Urais ndani ya CCM?

Acha siasa mfu. Huyu Slaa ndie anae waumiza kichwa.

Mwaka 2010 aliposhinda, ilibidi wagombea baadhi wa urais watoe kura zao kumuokoa Kikwe.

Kadi za kualika watu katika Uapishaji wa Rais ilibd zisimamishwe kwa Muda wa set mambo maana watanzania walishamtema kikwe.

Leo hakuna ndani ya ccm asiejua hatari inayoikabiri CCM mwaka huu, maana kama 2010 iliwezekana kwann mwaka huu ambao upepo unaonesha watu wengi hawaiungi mkono CCM ushindikane?

Na hapohapo zingatia kwaka 2010 tulikuwa tunazungumzia Chadema Leo tunazungumza Habari Za UKAWA.

Brother tuache siasa za mitandaoni, jiandaeni kisaikolojia. Mako Nyerere anasema Site Mambo Yamebadilika.
Na wewe unaamini mwaka 2010 Dr.Slaa alishinda urais Usalama wa Taifa wakaiba kura zake?

Mbona haieleweki kwa hiyo upo tayari kuachana na Dr.Slaa na kujiunga na Mako Nyerere safi sana.
 
Ukweli tunahitaji upinzani lakini kwenye upinzani kwenyewe Kila MTU anataka kwenda ikilu eti mwamuweka babu her. Babu naye kakaba kweli mpaka tunashidwaa had I sasa hakuna MTU siasa ndio imetawala
 
Chadema mtangaza nia atakuwa babu slaa peke yake atakayejitokeza mwingine atakuwa msaliti
 
Tecnolojia zaidi urongo mtupu eti anatutolea mfano Tanga leo wanavyomuangali,hao si ni wale wa mjini tu,wa vijijijini huko bumbuli hamna kitu
 
hawa mawaziri mi hapa ndiyo wanaponishangaza kwa nn wasinge yafanya wakiwa ndani ya uongozi kwa kumshauri Jk hizi ahadi hata Jk aliahidi hakuna hata moja lililotekelezwa! heli El kuna mengi tuliyaona.
 
Anayoyasema yeye ndo short cut,ukizingatia jinsi umaskini uliyoilemea Tanzania,kwa miaka mitano kufanya yote hayo ni uongo tena uongo mkubwa sana

Katika aliyosema hakuna ata mmoja analoweza kutekeleza kama kuna anayebisha aniambie ata kimojawapo nimwambie jinsi alivyodanganywa.
 
Kujenga vituo vikubwa vya mchezo vya kiolimpic,jamani jamani tunadanganywa sana hapa,shule zenyewe hazina maabara
 
Mwambie pro-Chadema yeyote ajitokeze kutia nia kama ajafukuzwa kama panya ni marufuku kumpingana na fikra za Dr.Slaa na Mbowe.

Teh Teh pro-chadema wana muogopa sana Slaa ni kama Mungu wao...
 
Back
Top Bottom