Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Hapana unamuonea bure Victoirie anasema kweli.

January kilaza mkubwa mbona alikuwa ikulu na mmoja wa memba baraza la mawaziri, hayo ayasemayo mbona asiyafanye ikiwa anauwezo kichwani?


Victorie heshima kitu muhimu sana, ukimuita January kilaza basi akina Mbowe utawaitaje?kuna wabunge wachache sana walio kichwa kama Makamba.

Na tofauti na Makamba na wengi ata waliosoma ni kuwa wao hawasomi tena wakati Makamba anasoma kila siku.

Makamba ni kichwa, hayo ya utekelezaji ni suaka lingine lakin kwenye nadharia ukitaka idea kamuone Makamba.Kasheheheni.
 
Victorie heshima kitu muhimu sana, ukimuita January kilaza basi akina Mbowe utawaitaje?kuna wabunge wachache sana walio kichwa kama Makamba.

Na tofauti na Makamba na wengi ata waliosoma ni kuwa wao hawasomi tena wakati Makamba anasoma kila siku.

Makamba ni kichwa, hayo ya utekelezaji ni suaka lingine lakin kwenye nadharia ukitaka idea kamuone Makamba.Huwezi kuona tofauti ya ufahamu wa Makamba ata na wanasiasa wa nchi zilizoendelea, yupo kamili na yupo updated na elimu, falsafa, ideas mbalimbali za siasa na utawala duniani.

With all due respect to Makamba, he is not the brightest chap around. CCM has many smart people, just that many are as corrupt as they come and other just stopped caring.

Find other criteria to rank Makamba, intelligence is not his strong suit.
 
Tatizo letu siyo yupi anaweza kumeza nondo bila kusoma...tunataka mtu akataye simamia rasilimali za taifa hili ziweze kutusukuma katika maendeleo na kutunufaisha kila mmoja kwa namna yake.

Alikuwa anasoma kwa kutumia TelePrompter.

Hata hivyo CCM ni waongo tu
 
Huyo hata hafai kuandikwa habari zake za aina yoyote ile labda waandishi makanjanja ndio wanaweza..!!
 
Alikuwa anasoma kwa kutumia TelePrompter.

Hata hivyo CCM ni waongo tu

Anhaaa kumbe alikuwa akiisoma kwenye prompter ila baadhi ya watu wamezugika kuwa alikuwa hasomi?

Kaazi kweli kweli.
 
Tumechoka na blah blah za magamba....wamekuwa ni waongo mpka sasa wanaishiwa kwa fixi,.
WWametfanya sisi vilaza wao....
 
Hafai kwalolote hata hapo ashukuru mbeleko ya baba yake na kikwete kupeana hovyohovyo
 
Anhaaa kumbe alikuwa akiisoma kwenye prompter ila baadhi ya watu wamezugika kuwa alikuwa hasomi?

Kaazi kweli kweli.

Yaani kuna Watu wanaamini alikuwa anaongea bila kusoma!!!
Mwaka 2005 yeye ni miongoni waliomshauri JK atumie mfumo huo kuhutubia bunge kwa Mara ya kwanza.
 
Hivi mtu asipotaja "walimu" kwenye hotuba yake anajisikiaje? hebu mtukomee! msitufanye daraja lenu
 
Yaani kuna Watu wanaamini alikuwa anaongea bila kusoma!!!
Mwaka 2005 yeye ni miongoni waliomshauri JK atumie mfumo huo kuhutubia bunge kwa Mara ya kwanza.

Nilikuwepo ukumbini Mlimani City...wewe ulikuwa wapi wakati anahutubia?

Kama hiyo ya Makamba kueleza nini atafanya bila kusoma imewakeleketa sana, basi ndio mjue hao ndio aina ya viongozi ambao wapo CCM....sio kama waliofeli shule wa huko UKAWA
 
Hawa jamaa sijuwi wanafikiri watanzania wa leo ni wajinga kiasi hicho kila mmoja anaongea uwongo uliyo pindukia kila jambo kwao linawezekana !!!!
 
Nilikuwepo ukumbini Mlimani City...wewe ulikuwa wapi wakati anahutubia?

Kama hiyo ya Makamba kueleza nini atafanya bila kusoma imewakeleketa sana, basi ndio mjue hao ndio aina ya viongozi ambao wapo CCM....sio kama waliofeli shule wa huko UKAWA

Alikuwa anasoma kwenye teleprompter au alikuwa hasomi?
 
Yawezekana hata hiyo prompter haijui kiongozi. Utakuwa unamuonea kwa swali hilo.

Hahaaaa unajua nini...hata mimi nilikuwa nawaza hivyo hivyo kuwa huenda hata hajui hiyo kitu ni nini:becky:.
 
January Makamba anaongelea ilani pendekezwa ya chama cha mapinduzi sijaona swala lake binafsi au kwavile yeye ndie Katibu wa kamati ya maandalizi ya Ilani pendekezwa ya ccm 2015 . Nilitegemea ataongea plan yake aliyo nayo bali anaongelea mawazo ya wenzake anaoshilikiana nao kuandaa ilani ya: chaguzi ya ccm 2015.Hongera January Makamba kwa kutumia fursa na kunadi Ilani ya chama chako.
 
Back
Top Bottom