Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.

Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.

Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..

HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
wanahabari hafukuzwi kwani asie kwenda ataambiwa sio raia.
 
Tupo njiani na posho ziwe tayari baada ya mkutano mambo ya kuanza kuzungushana hatutaki
IMG_20200829_131953.jpg
 
Siku ya uzinduzi wa mitama, Mbasha pia atakuwepo ktk stage ili apigwe mtama.
Tuseme kwa mfano uonyeshwe gharama ya lile tamasha la pale Uhuru na hili la Idodomya, hapo bado matamasha mengine nchi nzima, unaweza ukabunia,, ni kodi zetu au wamezitoa mifukoni mwao?? Na je! Hizi gharama zote nani atawarudishia?? Au ni wazalendo sana kwamba wapo tayari kupoteza pesa zote hizo na wakishindwa uchaguzi watakubali??
Mhhhhh sidhani naona wakijipanga kuja kurudisha pesa zao kwa hasira zote na msoto mwingine mkali wamiaka 5 kuliko huu, NAJARIBU KUWAZA TUU..!!
 
Bavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!

Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.

Je utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema??
Natamani nisikujibu lakini acha nikujibu japo haitaondoa upumbavu kichwani make.
Ulishawahi kasema Lisu ametumwa na MABEBERU kuja kugombea? Ni kweli?
Kama ni kweli kwann basi hao MABEBERU wasimpe pesa?wajinga sana nyie
 
Aksante Sana Ngosha kwa hakika umeitendea haki siku ya leo
 
Naona baada ya kumsikia Magufuli akijadili hoja wafuasi wa Chadema wameanza kuja na threads za nini watafanya ha ha ha
 
Back
Top Bottom