Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Sio kumenyana, sema KUMENYWA na MakamboMbeya City leo wako nyumbani uwanja Sokoine jijini Mbeya kumenyana na vinara wa ligi kuu vijana wa Jangwani Yanga.
Mbeya Sweety ni kama wanasiasa, usiwatilie maanani wakiahidi jambo.Mbeya city imeahidi kumaliza mwaka 2018 kwa kishindo cha ushindi wakiwa nyumbani.
Tambwe amecheza msimu mmoja? Acha uongo mkuuNiliwahi kuandika humu hkn ligi nyepesi km VPL ,( mtazamo Wangu)
Mfano mdg angalia strikes wengi wakija bongo msimu wa kwanza lzm waongoze kwa ufungaji,na km ni mchezaji wa nafasi nyingine lzm atawika sana msimu wa mwanzo ,baada ya hapo doh majanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani na hapa nimevaa jezi ya Yanga na track suit. Hivyo najivunia kwa kweli. ππππ na nimefurahi hasa.
Ni aibu Yanga wakiwa bingwa kwa timu hi ligi ya Tanzania ipo chini Sana daaaah
Yaani timi hi inacheza mechi 18 Bila kufungwa unbelievable
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, kuhusu mchezaji zaidi ya Makambo usijari hilo liko ktk ratibaHahahaaa. Mtaniiii. Mi Yanga damu kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NYUMA MWIKO HASWAAAA YAANI MBELE KWA MBELE.
Zawadi tuletee zaidi ya Makambo aje kutunyooshea watu Mtani. [emoji3][emoji3][emoji3]
Na kwako pia. Tunaomba Mwenyezi Mungu atujaalie uzima tupate kuuona salama Mtani.Hahahaha, kuhusu mchezaji zaidi ya Makambo usijari hilo liko ktk ratiba
Safi Sana Mtani, Mbele Daima Nyuma Mwiko
Heri ya Mwaka Mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu wa kwanza ilikuaje? Ni mtazamo tu ,usipanic MkuuTambwe amecheza msimu mmoja? Acha uongo mkuu
Na kwako pia. Tunaomba Mwenyezi Mungu atujaalie uzima tupate kuuona salama Mtani.
Kwa Sasa una furaha uwezi kunielewaUchambuzi wako siyo sahihi...kumbuka Yanga inacheza kitimu...haina majina makubwa ya wachezaji...ogopa timu inayocheza kitimu na ikiwa na mwalimu sahihi na anayejua saikolojia...
Kabisa Mtani. Kila la kheri uwe na utulivu.Hakika ni kumuomba Mungu tuone ,huku sie ,kesho mchaka mchaka wa uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Sasa una furaha uwezi kunielewa
Yanga wako weak Sana defense timu nyingi zinashindwa kutumia nafasi kutokana na Aina ya wachezaji wa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaipigiza mikia kwa nguvu tumboni kwa hasira.Kama nawaona mikia wanavyo teseka
Kabisa Mtani. Kila la kheri uwe na utulivu.
Jiandae na kipigo Cha Eliud Ambokile , ndo mtajua umuhimu wa Beno Kakolanya
Sent using Jamii Forums mobile app