ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Wangecheza na Sevila wangetia aibu nakwambia lazima wangeomba hela hata ya maji, timu inahuzuni kama gari za takaAyaaaaah,umekosea kuwaambia,wakijua hili hawatachukua kombe LA FA.Wameacha Fursa ya kucheza na Sevilla kwa kuhofia kucheza na Simba